Series (Special thread)

Series (Special thread)

Wadau hii site ya hdmp4mania.rocks imepatwa nini tena jamani? Na kwa wale waliokua wanaijua je mbadala wake ni ipi? Natanguliza shukran zangu kwenu.
 

Attachments

  • Screenshot_20170823-233509.jpg
    Screenshot_20170823-233509.jpg
    37 KB · Views: 54
photo_2017-08-24_17-24-41.jpg

Kwa wale wapenzi wa Series za Marvel Heroes
Yan DareDevil, Jessica Jones, Luke Cage, & Iron Fists
Nmeikuta Moja Inaitwa Marvel The Defenders Wakali Wote Hao Wapo Humu.............😉😉
 
Ki ukweli wenzetu wamejaaliwa kuwa na ubunifu wa hali ya juu sana katika kutoa burudani kwa kuhakikisha anakamata hisia zako pale unapokuwa unatizama kazi zao. Wanafanya vizuri sana na hii ikichangiwa pia na tekinolojia waliyo nayo kuwa juu.<br />Kwangu mimi naona USA iko juu sana katika utoaji wa Movies and Tv Series (kusema hivi simaanishi kuwa wengine hawatoi kazi nzuri, lahasha!! Wanatoa kazi nzuri ila USA is the best)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies.

Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya.

Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na zimenifurahisha.

1.Leverage
2.Breaking bad
3.Prison break
4.Burn Notice
5.Lost
6.Revolution
7.How to make it in America
8.How I met your mother
9.Martin
10.Community
11.Walkind dead

Hizo ni baadhi tu..


UPDATES ZA SERIES TOFAUTI KUTOKA KWA WACHANGIAJI KWENYE THREAD.
New tv series nnazozipenda.

1.The last kingdom
2.Narcos
3.Quantico
4.blindspot
5.the bastard executioner
6.limitless

7. jessica jones
8.the returned
9.Tyrat
10.Power
Ki ukweli wenzetu wamejaaliwa kuwa na ubunifu wa hali ya juu sana katika kutoa burudani kwa kuhakikisha anakamata hisia zako pale unapokuwa unatizama kazi zao. Wanafanya vizuri sana na hii ikichangiwa pia na tekinolojia waliyo nayo kuwa juu.<br />Kwangu mimi naona USA iko juu sana katika utoaji wa Movies and Tv Series (kusema hivi simaanishi kuwa wengine hawatoi kazi nzuri, lahasha!! Wanatoa kazi nzuri ila USA is the best)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom