Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Fearless inahusu nn hiiKuna suits inaendelea tarehe 12. Na kuna mpya yaitwa fearless.. ni nzuri pia
Fearless inahusu nn hiiKuna suits inaendelea tarehe 12. Na kuna mpya yaitwa fearless.. ni nzuri pia
Imeandikwa na patrick Harbinson. Jamaa aleyeandika homeland na 24.Fearless inahusu nn hii
Hii hata mimi nimeiona nikaitamani niichek. Ndio kwanza ina episode 4 tu.Imeandikwa na patrick Harbinson. Jamaa aleyeandika homeland na 24.
ni kuhusu mwanasheria(Emma) anayedefend zile "lost causes".
Fearless (TV Series 2017– ) - IMDb
Ha ha ha ha bado siku 43 tuanze season 4 hapo.Niambien Maserati dude lingine nilipakue,maana last ship niliidharau lakin weeeee balaa haswa la kiumr
Now watching doubt, nimeipenda. Huwa napenda sana searies zenye mrengo wa kisheria sheria. Napenda vile wanasheria wanavyobishana mahakamani.Ha ha ha ha bado siku 43 tuanze season 4 hapo.
Ushaichek designated survivor?
Yes,nilikua naenda nayo kila wiki,napenda series za namna ile,yaan mahuckers,intelegensia ya ukwel,na visa vya kisiasaHa ha ha ha bado siku 43 tuanze season 4 hapo.
Ushaichek designated survivor?
MchumbaNow watching doubt, nimeipenda. Huwa napenda sana searies zenye mrengo wa kisheria sheria. Napenda vile wanasheria wanavyobishana mahakamani.
hahahaha seth bnaMchumba
Wanabishana kweli?? Wabishi kama lucca wa The Good Fight???

Aisee nampenda seth jamaniiihahahaha seth bna![]()
![]()
![]()
![]()
Namuona mchumba wakoMchumba
Wanabishana kweli?? Wabishi kama lucca wa The Good Fight???
Ushaiona The Good Fight??Namuona mchumba wako![]()
![]()
![]()
Yes mama, napenda sana mambo ya hivyo haswa pale mahakamani.
Kumbuka buana..Hivi nina kumbukumbu kweli!!
Mkuu blindspot na shades of blue zinarudi lini?