Series (Special thread)

Series (Special thread)

Habari zenu waungwana, ni series gani nzuri na ambayo imechangamka kama Into the badland?
 
Habari zenu waungwana, ni series gani nzuri na ambayo imechangamka kama Into the badland?
The Blacklist

b319a259f3b575c9b59afea4839eb47a.jpg
 
Mi nimeifuta leo, ina crush down kila saa. Sitazami tena series ni mwendo wa kucrush down. Nimeifuta leo.
Nabaki na showbox yangu, ninataka kuanza series moya either designated survivor au last ship leo.. Ninaambiwa ni nzuri sana
Hizo zote mbili ni nzuri mnooo mama.
 
Dah!! Wewe hii ndo uta-enjoy sasa! Series ukiipiga non-stop ndo una-enjoy zaidi kuliko haya mambo ya kusubiria wiki mzima kusubiria epsode moja!!!
Yaani niko addicted as other series, nishakata episode 12 mpaka sasa nalala. Kesho tena hii.
Nimeikubali
 
Yaani niko addicted as other series, nishakata episode 12 mpaka sasa nalala. Kesho tena hii.
Nimeikubali
Kwani ulikuwa na mashaka nayo?! Basi kama mpenzi wa vitabu, tafuta na novel yake kabisa... Designated Survivor... you'll love it!!!

Ingawaje novel na series havijafanana moja kwa moja lakini storyline ni ile ile!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom