Series (Special thread)

Series (Special thread)

Imeshaisha...! Hapa tuombe irudi season 6 manake hawa jamaa hawaaminiki!!
Yah wamesema ni limited series so maana yake ni kuna uwezekano wa kurudi season 6 au kuishia pale ep9 season 5
 
Ukiizungumzia Prison break unamzungumzia Tbag. Huyu ndio alikuwa mastermind wa kila kitu, vitu vingi alivyofanikiwa Michael kulikuwa na uwepo wake.
Ukisema mastermind wa prison break Tbag namweka mwisho, wapo watu waliokua focused sio tbag.... Tbag mdandiaji na sio mtu wa principles, hana plans mambo yake ni coincidental tu
 
me nadhani michael ni genius zaid ya mahone kwa fact moja tu ..,walipokua sona mahone alitulia na akamtegemea mike kumtorosha
Sure ,mahone kwa michael anasubiri hata michael alimwambia mahone every time you come close i win, mahone akamwambia the difference is you cant kill but mwishowe ni kweli kila mara mahone alikua akikalishwa
.then kingine ni kwamba mahone works better when in a team but scofield is expendable. Kwahiyo me naona michael 70% then Mahone 30%
 
Ktk Prison Break Mahone alikua gunius kuliko Michael sema kwa vile story inamuhusu michael unaweza usiione hii,,angalia Mohone alivyokua anagundua kila kitu Michael anachokifanya,angalia alivyokua anasoma codes viambata,,angalia alivyokua anajua lengo lao ni lipi haswa,,mpka michael akaona huyu yupo mbele yao hatua moja na akaja na mbinu ya kwenda kwa familia yake,,bt kwangu Mahone anapata 51%ndio ule usemi usijisifie una mbio bila kukumbuka anaekukimbiza.
Then remember mahone is proffessional so lazima ajue, michael is more genius, just structural engineer but he managed to outsmart every guy infront of him on all terror situations
 
Ni nzuri Sana mkuu. Maana Nilikuwa naitumia terrarium TV lakini ilikuwa ina crush down mpaka nikawa nakosa amani. Nimepata mbadala
Mamii tukisubiri series zetu pendwa ziendelee, kuna kitu cha DAY TIME DIVAS hebu kicheki.
 
Pc nliyokua Nachekia Series Iliuzwa na Cousin Wangu,na nlikua nashusha hata Season nzima kwa SIku for now Imekua mtihani kiDogo maana season 01 2000 tshs while 2000 Nashusha Season 2 kbs,Nimetulia kwanza nichukue Pc yangu nienDelee Kushusha maDuDe..
ila ma favourites ni
The outlander
Power
Tyrant
Prison Break
The Game
Breaking Bad Nlicheki part nDogo ila naona iko Full sana
N new series zingine nitazifuatilia tu,But Tyrant ilini Inspire a lot +Prison Break scofielD character yke km MASTERMIND wa Mission nyingi nDio inanipa Desire ya kuifuatilia zaiDi
 
Pakua Iron fist ndio naendelea nayo ipo poa kuna martial art pia imetengenezwa na Marvel kampuni ambayo imetoa Into the badland. Enjoy
Hapana Marvel hawajatoa Into the badlands tena Iron first bado sana kwa Into the badlands.
 
Nimeona tu ipo ktk list ya vitu vipya. Nipe habari yake
Mie nimeipenda kwakweli.
7fd66f7f974bac446c29ba086b27c851.jpg
 
msaaada,,,,ivi 'spartacus' na 'spartacus gods of arena' zipo tofauti???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom