Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,831
- 11,663
Nimetoka kuimaliza Evil Dead Burn, kuna part nilicheka sana yule mdada alieingiliwa na jini anatembeza kichapo kwenye familia kuna bibi anasema " I told you she was a thief😂😂"
😁😁😁😄😄Nimetoka kuimaliza Evil Dead Burn, kuna part nilicheka sana yule mdada alieingiliwa na jini anatembeza kichapo kwenye familia kuna bibi anasema " I told you she was a thief😂😂"
kuna vitu vingi unatazama unagundua humu duniani kuna watu wana akili mingi mno..!🙌🏾Same, napenda muv zenye uhalisia, matumizi ya tech, akili nyingi, simulizi inayovutia zaidi. Horror SIJAWAHI kabisa kuzikubali.
On my to watch list..!
Ni fresh mno leo ni Happy birthday yangu 😎Hello Vinnie..!
J’pili yako inaendaje..!?
Ha ha ha sana saana mkuu. Ni kweli kuna drama zipo ila walau kuna kitu kinakuja akilini unakiona hiki walau kina uhalisia na kinakupa kitu kichwani au kukupa maarifa mapya kujua dunia inaenda wapi.kuna vitu vingi unatazama unagundua humu duniani kuna watu wana akili mingi mno..!🙌🏾
😁😁Reacher hapaswi kumla Neagley bwana
😀 😀 😀 . Hata kwenye vitabu, na nimevisoma kadhaa, Reacher huwa hana mahusiano na Neagley ila huwa kuna videtective na vipolisi polisi vya kike kwenye mji anaopita na kujikuta anashirikiana navyo kwenye kesi za upelelezi. Hao ndio huwa anapita nao kabla ya kumaliza kesi na kuhamia mji mwingine 😀😀
Happy Birthday Boss, Mungu akusaidie akupe maisha marefu yenye afya njema, amani na furaha.Ni fresh mno leo ni Happy birthday yangu 😎
Happiest Birthday Vinnie,Ni fresh mno leo ni Happy birthday yangu 😎
Mimi huwa najisemea kila siku nikiangalia Muv kuwa mchina asije tu kuingia soko la muv, ATATUHARIBIA. Mzungu anaandaa Movie kwa miaka au mwaka na akitoa kitu ametoa kweli.hawa watu wapo dunia ya mbele mno kwa teknolojia kiukweli..! wacha tuendelee kupenda vitu vyao, vya kwetu tukipenda hata ubwabwa maharage inatosha sana..!🙌🏾
Sijashuhudia huo muujiza bado mamtu, haukuwa na mtandio hapo jirani umfunike..!??😒Nimeanza kuiangalia Landman Vincenzo Jr mbona huyu binti anipita mbele ya baba’ke matako wazi🤔
Cc: Carleen
😄😁 ningekuwa mimi napita walahi😁😁
Vincenzo Jr ndiyo huwa anataka kushuhudia huo muujiza wa Neagley..! Mimi kwa hapo siungi mkono pia, ila hao wadada warembo warembo anaowasaidia, wakikubaliana asiwaache..!
Asante rafiki yanguuuu😍😍😍🫡🫡😎😎Happiest Birthday Vinnie,
Mungu akakuongezee miaka mingi yenye baraka tele humu duniani, uendelee kuwepo sana tafadhali, tunafurahia uwepo wako hasa kwenye hii thread, tunakupenda mwaya..!😍😍
Hii sio powa kalii sana nimecheki mda kidogo
Amina ndugu yangu asante mnoHappy Birthday Boss, Mungu akusaidie akupe maisha marefu yenye afya njema, amani na furaha.
Yule bibi kapagawa sana watu wapo serious mara i know you nu mke wa mjukuu wangu😅😁😁😁😄😄