Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,929
- 7,796
Kama una nyingine ambayo ni dark thiller nitag nione bwasheeHii sio powa kalii sana nimecheki mda kidogo
Kama una nyingine ambayo ni dark thiller nitag nione bwasheeHii sio powa kalii sana nimecheki mda kidogo
Ni hatari mnoYule bibi kapagawa sana watu wapo serious mara i know you nu mke wa mjukuu wangu😅
Kabisa mamaahawa watu wapo dunia ya mbele mno kwa teknolojia kiukweli..! wacha tuendelee kupenda vitu vyao, vya kwetu tukipenda hata ubwabwa maharage inatosha sana..!🙌🏾
Itafute High Tension na ManhuntKama una nyingine ambayo ni dark thiller nitag nione bwashee
Long life Vinnie 😘Ni fresh mno leo ni Happy birthday yangu 😎
Alivyokuwa juu juu tulibaki kumshangaa wote😁Sijashuhudia huo muujiza bado mamtu, haukuwa na mtandio hapo jirani umfunike..!??😒
Hapana inahusu nini?
Thanks so muchLong life Vinnie 😘
Sifahamu nimetoa tu cover mahala sijui stori yake ndani ipo vp embu Vincenzo Jr. Idadavue hiiHapana inahusu nini?
Ngoja niicheck, ina yale mambo yetu au story nyingi?Sifahamu nimetoa tu cover mahala sijui stori yake ndani ipo vp embu Vincenzo Jr. Idadavue hii
Ni story inayomhusu kijana anaetafuta kutengeneza perfume ya kipekee ila ndani yake kuna mauajiNgoja niicheck, ina yale mambo yetu au story nyingi?
Vp kuhusu hiiNgoja niicheck, ina yale mambo yetu au story nyingi?
SijaicheckVp kuhusu hii
Labda kama waandishi wa series waamue kuchakachua mambo kupindukia, ila Vincenzo Jr atasubiri sana 😀 😀 😀 .Inasemekana Neagley ni asexual so hana hisia wala hamu ya kufanya hayo mambo kabisa 😀😀😀.😁😁
Vincenzo Jr ndiyo huwa anataka kushuhudia huo muujiza wa Neagley..! Mimi kwa hapo siungi mkono pia, ila hao wadada warembo warembo anaowasaidia, wakikubaliana asiwaache..!
Huu mzigo ni mkali sana japo sio nzuri kuangalia na watoto hasa hasa mwishoni
Inamuhusu mwana mmoja hivi alikuwa anakaa kwenye mazingiza hovyo huko paris yaani mazingira machafu sasa mwana anakipaji cha kunusa sana ila hana hisia anakuja kutengeneza pafyumu ambayo alikuwa anawatoa roho mademu ili pafyumu inukie zaidi na pafyumu hiyo ilipendwa sana na wadauSifahamu nimetoa tu cover mahala sijui stori yake ndani ipo vp embu Vincenzo Jr. Idadavue hii
Nimeiona kiasi hainivutii😒Ni story inayomhusu kijana anaetafuta kutengeneza perfume ya kipekee ila ndani yake kuna mauaji