Hii flicky naiona ipo poa sana bila JF ningeumbuka Mimi movies ningezitolea wapi.Hata mimi ni mtu wa ku stream maana sina space tangu 2TB iharibike sina sehemu ya kuhifadhia.
Ingawa website nayotumia ina download option anaweza kujaribu hapo.
Website
Bila nyie wengine tungehangaika sana kupata movies na series. Maana Kuna movies Huwa mnazileta humu Kali na huko mitandaoni hata hatujazionaPamoja sana kaka
Safi sana nimeingia naona APEX imejaa tele kesho mwendo wa kuzishusha
Anakwambia sikukataa amri ila nilitaka kuhakikisha.Kuna hotuba ilitolewa na yule black ilikuwa speech NZITO sana season 1
Hii hata ukiingia moviebox unaikuta juu paleZa Kikorea ndio kabisaaaa
Ila hiyo Innocent defendant niliipenda for sure iko vizuri nakumbuka niliangalia 2018 kama sikosei ila episode ya mwisho sikuiangalia.
Wiki 2 zilizoisha niliona kwenye site yangu pendwa kuna mini series ya Kikorea ina rate 9.0 inaitwa If Wishes could Kill nikasema ngoja niicheki.
Nilipenda story japo story yake ina relate kwa ukaribu na movie moja inaitwa Countdown
Sababu kubwa ya Movies/Drama za wakorea kutonivutia ni namna ya uigizaji wao kidogo nawaona kama hawako serious yani muda wote wanacheka cheka na kudeka deka.
Patriot nzuri sanaGademit mpaka sasa bado sijafanikiwa kushusha maniac na patriot nilifanikiwa beef na Mr robot
Naba links maana zile ziligoma kabisa
uliwezaje kuimaliza..!? mimi nilivyoona jicho linatembea lenyewe nikashindwa walaqhi’ nikaitolea mbali..!🙌🏾Baada ya mama yao kufa wanapitia msoto sana baba yao anawatesa wanaingia kwenye wizi dada mtu anakamatwa anaenda jela mdogo mtu katika kusurvive anaomba kazi ya ubeki tatu kwenye nyumba moja ya maajabu ambayo kuingia ni rahisi ila kutoka haiwezekani. Wamiliki wa nyumba ile wamekula dili na ibilisi one life for imortality kwahio ukiingia mlr unatolewa kafara ili wao waendelee kua immortal.
Baada ya miaka tisa jela dada mtu anapata parole anapambana kwenda kumuokoa dogo rasi kwenye hilo jengo. Humo kila scene ni ngumi na comedy
Mtu anatembea kashika kichwa chake mkononiuliwezaje kuimaliza..!? mimi nilivyoona jicho linatembea lenyewe nikashindwa walaqhi’ nikaitolea mbali..!🙌🏾
Hii niliiangalia sema imeka ki comedyBaada ya mama yao kufa wanapitia msoto sana baba yao anawatesa wanaingia kwenye wizi dada mtu anakamatwa anaenda jela mdogo mtu katika kusurvive anaomba kazi ya ubeki tatu kwenye nyumba moja ya maajabu ambayo kuingia ni rahisi ila kutoka haiwezekani. Wamiliki wa nyumba ile wamekula dili na ibilisi one life for imortality kwahio ukiingia mlr unatolewa kafara ili wao waendelee kua immortal.
Baada ya miaka tisa jela dada mtu anapata parole anapambana kwenda kumuokoa dogo rasi kwenye hilo jengo. Humo kila scene ni ngumi na comedy
Mzigo Mkali ndo nimeumaliza, hauna scene za ajabu unaweza kuangalia ukiwa na Mama mkwe... 🔥9/10🔥Series : KASABA au The town
Ni series ya kiuturuki ni ya mwaka 2025 hiko hivi majamaa 4 hivi katika safari yao wanabahatika kuona gari linawatu wawili ambo wameuwawa wakawa wanataka kutoa taarifa police kabla hawajafanya hivyo wanagundua kwenye hilo gari Kuna mabunda ya hela nyingi ya dollar na ukizingatia Wanashida lukuki wanajikuta wanahairisha mpango wa kutoa taarifa police wanachukua zile hela na ukizingatia hizo hela sio hela ya nchi yao na hawajui ni za nani? na kwanini watu walikutwa kwenye Hilo gari wameuwawa?
Baada ya kuzichukua hizo hela za kigeni wanaumiza kichwa watazitumiaje ili wasijulikane ukizingatia wapo kijijini na purchase power ya hapo ni ndogo
Kama hiyo umeipenda cheki na hii GangslandMzigo Mkali ndo nimeumaliza, hauna scene za ajabu unaweza kuangalia ukiwa na Mama mkwe... 🔥9/10🔥
Hii ni ipi? Na hiyo kesho Kuna Nini?Wakati nasubiria kesho kutwa ifike nimeamua nianze na hii ambayo nimeona mmeipa rate za kutosha, hapa ni baada ya kumalizia Memory of a killer
View attachment 3588252
Hiyo ni MIA nimeona jina juu pembeniHii ni ipi? Na hiyo kesho Kuna Nini?
Mkuu, naomba link ya ku download hii VenganzaUtamu njoo utamu koleaView attachment 3586962
Hii ni ipi? Na hiyo kesho Kuna Nini?
Finally siku inafika😂🔥