Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 19,238
- 55,522
Hmm ngoja niisubiri movie box tu sina ujanja!Nimeipakua nkiri.ink mama angu..!
Na episode ya 13 imetoka J’5 ya leo, I can’t wait to watch it..!🫠
Hmm ngoja niisubiri movie box tu sina ujanja!Nimeipakua nkiri.ink mama angu..!
Na episode ya 13 imetoka J’5 ya leo, I can’t wait to watch it..!🫠
Nilimwambia mtoto leo atoke kazn mapema nna movie mpya 😀tupo kuangalia mara kissing. Nkazuga.. ep haijaisha watu wana moan,, nkajifanya naplay vdeo kwa cm nkamuona kajiongeza kapelekea mbele.. rohoni nikafeel aibu tu dada mkubwa 😀😀Uliangalia na watu au umeambia watu waingalie😁
Sasa hapo shida nini dada🤭😂😂 zimo bana.. na hii ni S1… me nilijua ni drugs na 🔫.. mwanzo tu vitoto vya kike vimekiss, nkajifanya naongea.. mara watu wana moan daah
Wametoa S2? Niliiangalia zamani 😂Si mtu aangalie Citadel!
Hapana aiseeSasa hapo shida nini dada🤭
Na wewe unazingua movie za kizungu hutakiwi kuwatch na wengine scenes za sex lazima ukutane nazo ni Kama agenda yao ukitaka kuwa salama angalau ni za kichina au uturuki😂😂 zimo bana.. na hii ni S1… me nilijua ni drugs na 🔫.. mwanzo tu vitoto vya kike vimekiss, nkajifanya naongea.. mara watu wana moan daah
Ndio naangalia hapa ni hatari🙌🏾Wametoa S2? Niliiangalia zamani 😂
Ni nzuri sana
Khaa mi naangalia vizuri😃Hapana aisee
Me ni dada ake. na nimempita 4yrs.. sio sawa kwangu 😀😀
Enjoyyy nadhani iliishiaga S1 tuNdio naangalia hapa ni hatari🙌🏾
Khaa mi naangalia vizuri😃
Nimekoma wallahNa wewe unazingua movie za kizungu hutakiwi kuwatch na wengine scenes za sex lazima ukutane nazo ni Kama agenda yao ukitaka kuwa salama angalau ni za kichina au uturuki
🤣🤣🤣🤣Nimekoma wallah
Imebidi nikae angle ambayo zikija scene mbaya me nazuga kama siangalii vile kumbe naona..
Ipo season 2 la mamaEnjoyyy nadhani iliishiaga S1 tu
Doohh nakuzidi mbali sana siwezi kuwa gen zero mama😃Gen Z mna shida
Umo sio powaNimeangalia Euphoria Nikiamini ni mambo ya kidini tupu! aisee🫢 Depal
Mambo yetu yalee yapo ila sio poa mzee Vincenzo Jr
Naam kali kinomaPatriot 10/10
Ipo season 2 la mama
Nitatambaa hapa na Tanga😀Doohh nakuzidi mbali sana siwezi kuwa gen zero mama😃
Kwasabu naandika ujinga unahisi tuko sawa😃 mi mshangazi mwaya! We hata 3rd floor hujanusa.. sangapi?Nitatambaa hapa na Tanga😀