Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hii gangland ni single au series?
Series
Ina S2
Series: GANGSLAND

gen z watata wanajihusisha na wizi mdogo mdogo mtaani wanajikuta wanaiba begi ambalo walidhani ina hela kumbe ni la madawa kulevya na bahati mbaya huo mzigo ni wa gangster mmoja hatari na katili wa madawa kulevya hii inaitwa messing up with wrong person na Kati ya hao Gen z mmoja wapo ni mjomba wa mwanajeshi mstaafu na ametoka kwenye familia nzuri ukilinganisha na magen z wenzake unafikiri itakuaje?
au sio hii
IMG_1783.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom