Series (Special thread)

Series (Special thread)

Dozi ya usiku huu inatosha
Screenshot_20260204-210153.png
 
Bora hiyo kwakweli 😁😁

Superheroes kwakweli hapana. Japo zipo chache kama wonder woman ya kwanza, superman, Deadpool, na daredevil naweza kuziangalia (sijajua kama nimepatia hiyo category ya superhero)
😅 Ndio zenyewe, kumbe unaweza kuangalia jaribu na nyingine utazipenda, we angalia story usianze kuwaza mtu anawezaje kupaa kweli 😁
 
Depal Carleen Seran Mr Q Vincenzo Jr Dr. Mariposa Angel Nylon

‎The greatest showman ( romance, drama, musical )


‎Pt Barnum toka akiwa mtoto alikuwa na ndoto ya kuja kufanya kitu kikubwa na special kwenye dunia ila umaskini unakuwa kikwazo, anamua kutafuta tu kazi ya kawaida kwenye bank ili apate pesa za kumuoa msichana aliyekuwa anampenda toka utotoni, baada ya kuwa kwenye familia kwa muda anapata watoto wa kike wawili ila bado anaone hana furaha hivyo anamua kuacha kazi na kukopa mkopo benki ili kufungua ukumbi wa maonyesho ya sarakasi huku akichukua watu waliokuwa wanatengwa na jamii kipindi hicho miaka ya 70s ndio wawe watu wake wa maonyesho.

‎Ni movie inayonyesha hustler kwenye kupigania ndoto , racism, gharama ya tamaa ya kutaka zaidi ya ulichonacho
Rafiki yangu mkubwa, ambae kwa sasa naweza sema urafiki umepungua sana (maybe sababu ya step ya maisha niliyomzidi), yeye ni idealist sana.. alikua akiniambia mara kwa mara niitazame hii movie ina funzo kubwa sana ila nilikua nikiipotezea..

Ilikua kila nikimuuliza aniambie what is it about, and if possible anipe funzo lililopo alikua hataki kabisa aki insist niiangalie ila sikupata hiyo nafasi.

Sasa baada ya kusoma hii comment yako naona kuna sababu ya kuitafuta, maana jamaa alikua ana insights sana na miaka kadhaa nyuma nilikua nina ujinga ujinga sana.. kuna kitu alitaka nipate kutoka humo. Guess I'll find out..

Thanks champ!
 
Rafiki yangu mkubwa, ambae kwa sasa naweza sema urafiki umepungua sana (maybe sababu ya step ya maisha niliyomzidi), yeye ni idealist sana.. alikua akiniambia mara kwa mara niitazame hii movie ina funzo kubwa sana ila nilikua nikiipotezea..

Ilikua kila nikimuuliza aniambie what is it about, and if possible anipe funzo lililopo alikua hataki kabisa aki insist niiangalie ila sikupata hiyo nafasi.

Sasa baada ya kusoma hii comment yako naona kuna sababu ya kuitafuta, maana jamaa alikua ana insights sana na miaka kadhaa nyuma nilikua nina ujinga ujinga sana.. kuna kitu alitaka nipate kutoka humo. Guess I'll find out..

Thanks champ!
ni kwanini marafiki wengi wakizidiana hatua flani katika maisha, otomatik urafiki unakufa ama unapungua kabisa..!?
shida inaanza kwa ‘mfanikiwa’..!? ama shida huwa zaidi kwa ‘mfanikiwi’..!??
 
ni kwanini marafiki wengi wakizidiana hatua flani katika maisha, otomatik urafiki unakufa ama unapungua kabisa..!?
shida inaanza kwa ‘mfanikiwa’..!? ama shida huwa zaidi kwa ‘mfanikiwi’..!??
Story of my life, nimempoteza my childhood and a bestfriend kimasikhara masikhara tu baada ya kumtangulia kufika pale ambapo wote tulikua tunaomba kufika, nilidhan angekua proud matokeo yake akashindwa kuificha chuki yake kali dhidi yangu, imagine nimemfahamu my whole life.
 
Story of my life, nimempoteza my childhood and a bestfriend kimasikhara masikhara tu baada ya kumtangulia kufika pale ambapo wote tulikua tunaomba kufika, nilidhan angekua proud matokeo yake akashindwa kuificha chuki yake kali dhidi yangu, imagine nimemfahamu my whole life.
Pole dear,
sijui ni kwanini lazima tupitishwe huko, mimi huyo wangu alinipiga matukio balaa, kwanza mpaka kujua anayonifanyia alishafanya damage kubwa sana kwenye maisha yangu..!
 
ni kwanini marafiki wengi wakizidiana hatua flani katika maisha, otomatik urafiki unakufa ama unapungua kabisa..!?
shida inaanza kwa ‘mfanikiwa’..!? ama shida huwa zaidi kwa ‘mfanikiwi’..!??
Shida inaweza kuwa chuki kama alivyosema Dr. Mariposa ama muda mwingine inakuwa aibu, kuna watu wakiwa na shida ni bora akope kwa mtu asiye mfahamu vizuri kuliko kwa ndugu yake au rafiki yake,
 
Story of my life, nimempoteza my childhood and a bestfriend kimasikhara masikhara tu baada ya kumtangulia kufika pale ambapo wote tulikua tunaomba kufika, nilidhan angekua proud matokeo yake akashindwa kuificha chuki yake kali dhidi yangu, imagine nimemfahamu my whole life.
Kuna SPA ipo mwz inaitwa Mariposa beauty parlor au ni yako🥹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom