Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hawataki kukakamaa vidole na ngozi kama sisi😂
kuna story nilisikia kuna msukuma mmoja alienda Tanga kwenye mgahawa hizi za uswahilini mida ya saa 2 usiki akakuta wana maandazi, chapati,mihogo na mikate ya kumimina, badala ya ugali na wali jamaa akala hivyo hivyo ila saa saba usiku kaamka anasikia njaa unauma vibaya 😁
 
kuna story nilisikia kuna msukuma mmoja alienda Tanga kwenye mgahawa hizi za uswahilini mida ya saa 2 usiki akakuta wana maandazi, chapati,mihogo na mikate ya kumimina, badala ya ugali na wali jamaa akala hivyo hivyo ila saa saba usiku kaamka anasikia njaa unauma vibaya 😁
Nimecheka😂
Kuna mwingine alienda dar akakuta wametenga mezani kiugali kama ngumi, asikile chote akajua ni wake🫢 kumbe wa familia nzima🤦🏽‍♀️
 
Shida inaweza kuwa chuki kama alivyosema Dr. Mariposa ama muda mwingine inakuwa aibu, kuna watu wakiwa na shida ni bora akope kwa mtu asiye mfahamu vizuri kuliko kwa ndugu yake au rafiki yake,
wanadamu wana wivu na roho mbaya sana, Mungu atusaidie tu, ndiyo maana Mungu aliweka siri sana kufahamu nani anakuwazia nini..!🙌🏾
 
Pole dear,
sijui ni kwanini lazima tupitishwe huko, mimi huyo wangu alinipiga matukio balaa, kwanza mpaka kujua anayonifanyia alishafanya damage kubwa sana kwenye maisha yangu..!
Hakuna kitu kinauma kama usnichiwe na mtu wako wa karibu na wanasema adui yako hatoki mbali,
Pole na wewe pia love, ni kuishi kwa akili sanaa
 
kuna story nilisikia kuna msukuma mmoja alienda Tanga kwenye mgahawa hizi za uswahilini mida ya saa 2 usiki akakuta wana maandazi, chapati,mihogo na mikate ya kumimina, badala ya ugali na wali jamaa akala hivyo hivyo ila saa saba usiku kaamka anasikia njaa unauma vibaya 😁
Hii shida imenipata juzi tu nilivyokuwa mombasa kwa mama watoto
 
ACHENI stori leteni vyuma
Screenshot_20260205_195757_Opera Mini.jpg
Screenshot_20260205_195828_Opera Mini.jpg

HIvi hapa vya kituristi
 
Hatimae nimemaliza THOSE ABOUT TO DIE, naipa 10/10, nimejihisi kama na mimi nipo ndani ya jiji la ROMA,😄😄
Ila jamani kuna muda nashukuru kuzaliwa hii karne, enzi za utumwa zilikua mbaya sana binafsi ningesulubiwa mapema maana siwezi kumsujudia MTU😎

Seran , dosho12
Haina mambo ya uchawiuchawi na ma dragon?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom