dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,718
- 9,909
kuna story nilisikia kuna msukuma mmoja alienda Tanga kwenye mgahawa hizi za uswahilini mida ya saa 2 usiki akakuta wana maandazi, chapati,mihogo na mikate ya kumimina, badala ya ugali na wali jamaa akala hivyo hivyo ila saa saba usiku kaamka anasikia njaa unauma vibaya 😁Hawataki kukakamaa vidole na ngozi kama sisi😂
