Series (Special thread)

Series (Special thread)

Screenshot_20260110-234042.png
Ngoma Ina 6 seasons mzigo umeshiba kwelikweli. Season 1 pekee Ina 13episodes
 
Udambwiudambwi kwenye hii movie ni combination ya gangs of London, the continental na nyingine Moja nimeisahau jina dogo alivalishwa mavazi kama kuku na akaambiwa Alie kama kuku.

Hakika havoc ni chuma
1768167673466.jpeg


Naomba kifahamishwa mambo kadhaa.
1. Huyo star ndie muigizaji kwenye extraction?
2. Yule mama ambaye mtoto wake alikuwa ameigiza movies Gani zingine?
3. Kama Kuna movie nyingine kama hiyo yenye brutal killings damu kibao huruma 0 naomba kufahamishwa
 
Udambwiudambwi kwenye hii movie ni combination ya gangs of London, the continental na nyingine Moja nimeisahau jina dogo alivalishwa mavazi kama kuku na akaambiwa Alie kama kuku.

Hakika havoc ni chuma
View attachment 3528817

Naomba kifahamishwa mambo kadhaa.
1. Huyo star ndie muigizaji kwenye extraction?
2. Yule mama ambaye mtoto wake alikuwa ameigiza movies Gani zingine?
3. Kama Kuna movie nyingine kama hiyo yenye brutal killings damu kibao huruma 0 naomba kufahamishwa
Huyu ni TOM HARDY star kwenye MOBLAND, Chris Hemsworth ndo star kwenye extraction
 
Udambwiudambwi kwenye hii movie ni combination ya gangs of London, the continental na nyingine Moja nimeisahau jina dogo alivalishwa mavazi kama kuku na akaambiwa Alie kama kuku.

Hakika havoc ni chuma
View attachment 3528817

Naomba kifahamishwa mambo kadhaa.
1. Huyo star ndie muigizaji kwenye extraction?
2. Yule mama ambaye mtoto wake alikuwa ameigiza movies Gani zingine?
3. Kama Kuna movie nyingine kama hiyo yenye brutal killings damu kibao huruma 0 naomba kufahamishwa
Kwenye. No 1 sio yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom