Series (Special thread)

Series (Special thread)

Naomba horror zitakazo chomoa moyo. Yani horror haswa. Design ya wrong turn hills have eyes na thrillers Yani nataka kustuka. Ukipata kama pia ziweke kwenye orodha
mdogo wangu kajibu hivi;

The exorcist
The conjuring 2013
The shining 1980
The texas chainsaw 1974
IT 2017
atazame hizo chache nishaacha kuangalia maana sioni cha ajabu wala cha kutisha tena.

dosho12
 
The conjuring 2013 tayari sasa nachukua hii
Screenshot_20251014-104801.png
 
Omg.. nimetoka kumaliza series ya 1923 🙌🔥🔥🔥
Itoshe kusema kwa mpenzi yeyote wa series hapaswi kupitwa na hizi.. kuanzia 1883, 1923 mpka Yellowstone.

Naanza na Yellowstone leo leo.
Ila kiukweli nimependa kila kitu kwenye hizi series.
Yellowstone 😎 nilikuwa na download yenye 1080p kila ep Moja nilikuwa napiga gb 2
 
Wakuu hii House of David imekuaje wameitoa tena season 2 mwaka huu, anyway naisubiri ikamilike ndio nianze kuishusha,
Tulsa King season 3 imetoka pia,🔥
Hata mi nilishangaa kuona series ya kizungu kuwaisha season mpya mapema hivyo, mi nilijua hapo mpaka 2026 september hivi,

Au huenda amazon walishawapa green light mpaka ya season 2 hivyo wakaona washot season zote kwa pamoja na sio kusubiri mwaka ujao ndio
 
Wakuu hii House of David imekuaje wameitoa tena season 2 mwaka huu, anyway naisubiri ikamilike ndio nianze kuishusha,
Tulsa King season 3 imetoka pia,🔥
nilijaribu episode ya kwanza ikanishinda mapema mno nikaachana nayo..! kweli tunatofautiana ladha..!
sasa hii season nzima naifanya nini mimi maskiini..!
 
nilijaribu episode ya kwanza ikanishinda mapema mno nikaachana nayo..! kweli tunatofautiana ladha..!
sasa hii season nzima naifanya nini mimi maskiini..!
Ni nzuri aiangalie tu utaipenda
Na unabahati ni season moja tu, tena na episode chache, zingekuwa kama series za zamani episode 24 sijui ungefanyaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom