Series (Special thread)

Series (Special thread)

WHAAAAAAAT? Tuanze na la huyo jamaa yako kwanza! Ni Empire ipi hiyo unayoizungumzia kwamba mshikaji wako haipendi? Ni hii hii ya akina Lucious na Cookie au nyingine? Kama ndo yenyewe basi kweli issue ya TASTE ni kitu cha ajabu sana manake, ni kv tu nafahamu taste ya mtu ina mchango mkubwa sana ktk kupenda hiki au kile otherwise wala nisingemuelewa mtu akisema Empire ni mbovu!

Kuhusu kufahamu kwanza stori za vitabuni nakubaliana na wewe kwa 100% na hii ndio sababu series na filamu za vampires, zombies, batman stuff na hata GOT stuff zinafanya vizuri sana USA manake majority origin yake ni comic books kv Marvel Comics (for Spiderman stuffs). Na majority ya Wamarekani wamevisoma hivi vitabu tangia utotoni hadi ukubwani depending na rating manake vingi vinakuwa kwenye graphics. Is like sisi watoto wa zamani utuambie kuna series ya akina Lord Lofa na Pimbi (Sani), obvious lazima tutazipenda tu manake ikiwa tulizipenda zikiwa kwenye mfumo wa picha seuze motion picture!
yap ni EMPIRE hii ya kina hakeem na kakaake jamari

mkuu umenena vema kwenye khs vitabu mfno natamani bongo tutengeneze animation movie au hata seriez based on kitabu cha SANI au BONGO au hadithi za BEN MTOBWA au EDDY GANZERI na watunzi wengineo ambao tulivisoma tngu utoto ingekuwa noma sana ama ingekuja seriez ya vita vya majimaji sipati picha utamu wake ungekuaje
 
Hio empire me mwenyewe baada ya kuona tu ushoga nikatia kapuni na naweza sema ni mbaya pia.....hata Quantico nilipoanza tu nikaona wanakulana nikaweka kapuni.
 
Kuna series tatu tu ambazo nakua anxious Sana kupata muendelezo wake na hata kutaka kujua new season ni lini..

1. 24
2. The Last Ship
3. Game of thrones and Into The Badlands
Mkuu kila sehemu watu Ni The Last Ship embu nidokeze kidogo mkuu na hiyo Game Of Throne
 
Mkuu kila sehemu watu Ni The Last Ship embu nidokeze kidogo mkuu na hiyo Game Of Throne
Marine ship under their captain Tom Chandler wanatumwa on a mission to find the cure for an outbroken virus....on their journey to finding the cure they encounter a lot of problems and even after they've got the cure,things are still tight.
Itafute mkuu utaipenda tu.
 
Hio empire me mwenyewe baada ya kuona tu ushoga nikatia kapuni na naweza sema ni mbaya pia.....hata Quantico nilipoanza tu nikaona wanakulana nikaweka kapuni.
Hahahaaaaaa!! Kweli ushoga unakukera, sasa wht ll you watch jamani? Maana now ndio mtindo huo.
Hivi got haina ushoga?
Sitaki hata kuisikia....not after what real Michael is
 
Ukiangalia filam au series yoyote usiwe muangaliaji wa matendo bali maudhui au dhumini la movie husika lipo wapi na una gain nini ktk story nzima ya movie achilia mbali burudani.
Ukiona unaangalia movie na inakuboa basi wewe ni mtizama matendo na sio mfuatiliaji wa story kujua siri au dhumuni hasa la movie.
Wewe unae dis Empire kisa ushoga je huo ushoga ktk story nzima wote wana ukubali au wapo wasio kubaliana na hilo swala.
Mm napenda filam zinazo reflect maisha halisi kulingana na wakati sio kuangalia movie au series ambayo haina uhalisia movie/sereas imejaa mambo ya kufikirika mimi hiyo naweka mbali.
 
Ukiangalia filam au series yoyote usiwe muangaliaji wa matendo bali maudhui au dhumini la movie husika lipo wapi na una gain nini ktk story nzima ya movie achilia mbali burudani.
Ukiona unaangalia movie na inakuboa basi wewe ni mtizama matendo na sio mfuatiliaji wa story kujua siri au dhumuni hasa la movie.
Wewe unae dis Empire kisa ushoga je huo ushoga ktk story nzima wote wana ukubali au wapo wasio kubaliana na hilo swala.
Mm napenda filam zinazo reflect maisha halisi kulingana na wakati sio kuangalia movie au series ambayo haina uhalisia movie/sereas imejaa mambo ya kufikirika mimi hiyo naweka mbali.

umesema kitu kinzuri sana matendo mengne huwa ni ya kutokea tu hayahusiani ma story husika
ni kweri ili uipende seriez ni vema hiyo storyline ikubambe kwa maana utasisimka kwa kutaka kujua itakuaje mfan game of throne hapa tuna mshawasha tunataka kujua itakuaje ikiwa JON SNOW kafa nini kitaendelea sasa maswari yasiyo na majibu ndo hupelekea kuzidi kuipenda
km nilichoipendea LOST maswari waliokuwa wanajiuliza kina jack na wenzake hawa OTHER kina nani watu gan wanataka nini na wapo wap ndio nilikuwa najiuliza hata mimi kiasi kwamba ikawa ni seriez yenye story ya kunisisimua vilivyo

kingne seriez inaweza ikawa si ya uharisia km unavosema ni ya kufikilika lakini inaweza mazingira au story ikakuvutia na ukaipenda mfn movie kama JURASIC WORD au JOURNEY TO MYSTERIOUS ISLAND nimezipenda kutokana na mazingira yake asa ile THEMES zake
 
I love Homeland-- uncle angu ananiambia najua kupenda vibovu coz' pamoja na kuipenda Homeland, my Top Favorite Series for now ni The Americans ambayo anaamini ni moja ya series mbovu kupata kutokea!! Hapa nilipo am dying waiting kuona nini kitaendelea baada ya Paige ku-blow cover ya wazazi wake kwa Mchungaji! I am also dying to know ikiwa Mchungaji nae ni Mchungaji kweli kweli au ni KGB stuff! Ni March 16 lakini naona ipo mbali ile mbaya!
we have something in common .....The Americans is one of my favorite bila ya kusahau Homeland though niliipotezea baada ya Brody kufa .....naisubiri the americans hiyo 16 March kwa hamu kubwa coz nilidhani ndo imeishia pale
 
Ukiangalia filam au series yoyote usiwe muangaliaji wa matendo bali maudhui au dhumini la movie husika lipo wapi na una gain nini ktk story nzima ya movie achilia mbali burudani.
Ukiona unaangalia movie na inakuboa basi wewe ni mtizama matendo na sio mfuatiliaji wa story kujua siri au dhumuni hasa la movie.
Wewe unae dis Empire kisa ushoga je huo ushoga ktk story nzima wote wana ukubali au wapo wasio kubaliana na hilo swala.
Mm napenda filam zinazo reflect maisha halisi kulingana na wakati sio kuangalia movie au series ambayo haina uhalisia movie/sereas imejaa mambo ya kufikirika mimi hiyo naweka mbali.
Mkuuu ukija kuelewa dhumuni au long term goals zao ndio utajua kwann wengine tunakataa.... Hawa jamaa imefikia steji steringi wa movie anafanya mambo makubwa na ya ajabu ya kusisimua lakini ndio anakua bwabwa.

Hiiii wanapandikiza mentality kwamba hawa jamaa wana akili and they can do impossibles.
Now ukiisha watch mastar sita ambao ni mashoga unajikuta unazoea hio hali na unaona they are people like you. And till that point mtajikuta majority hamuoni tatizo someone to be gay.


Kila kitu kinaanza na kukitazama sana....the more you watch it you get to see it as a normal thing.




So yes tunatazama matendo na sio maudhui but all in all I do believe am in the right track.....do you???? Are you in the right track seeing your fellow man get banged????
I guess the answer is no.
 
Mkuuu ukija kuelewa dhumuni au long term goals zao ndio utajua kwann wengine tunakataa.... Hawa jamaa imefikia steji steringi wa movie anafanya mambo makubwa na ya ajabu ya kusisimua lakini ndio anakua bwabwa.

Hiiii wanapandikiza mentality kwamba hawa jamaa wana akili and they can do impossibles.
Now ukiisha watch mastar sita ambao ni mashoga unajikuta unazoea hio hali na unaona they are people like you. And till that point mtajikuta majority hamuoni tatizo someone to be gay.


Kila kitu kinaanza na kukitazama sana....the more you watch it you get to see it as a normal thing.




So yes tunatazama matendo na sio maudhui but all in all I do believe am in the right track.....do you???? Are you in the right track seeing your fellow man get banged????
I guess the answer is no.
Binafsi siungi mkono ushoga au ku surpot ushoga hata chembe na binafsi hata inapofikia stage jamaa wanafanya mambo yao na boreka sana inachefua ikibidi ku FF>> Ila kuacha kuangalia movie coz someone amecheza kama shoga inakuwa ngumu kidogo labda movie nzima iwe ina husu hiyo mambo ya usodoma.
 
Binafsi siungi mkono ushoga au ku surpot ushoga hata chembe na binafsi hata inapofikia stage jamaa wanafanya mambo yao na boreka sana inachefua ikibidi ku FF>> Ila kuacha kuangalia movie coz someone amecheza kama shoga inakuwa ngumu kidogo labda movie nzima iwe ina husu hiyo mambo ya usodoma.
Sasa mkuu huyo Dogo wa kwenye empire ambae anaimba na mambo kama hayo how do you say unafoward wakati star ktk hio movie kapewa role ya ushoga? Yaani kila akiimba au akifanya kitu ujue hafanyi yeye bali ni the gay doings. Now how do you cope with that???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom