SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Mkuu maudhui ya empire si ushoga. Na si kwamba wana promote ushoga bali maisha ya hivyo yapo, kitu cha kujifunza ni jinsi gani ukabiliane nayo. Na ndio maana unaona baba yake Jamal mwenyewe hilo swala lina mkwaza sana lkn muda alikuwa nao but hakuwa karibu na dogo since yupo mdogo, maza nae ndio hivyo dogo anakuwa maza yupo jela unadhani dogo na elementi alizokuwa nazo angeishia wapi kama sio kuwa punga wewe kama ni mzazi kunakitu cha kujifunza pale.Sasa mkuu huyo Dogo wa kwenye empire ambae anaimba na mambo kama hayo how do you say unafoward wakati star ktk hio movie kapewa role ya ushoga? Yaani kila akiimba au akifanya kitu ujue hafanyi yeye bali ni the gay doings. Now how do you cope with that???
Siungi mkono ushoga lkn l have to finish the story coz vipo ambavyo navifuatilia nijue nini kilihappen mwisho wake itakuwaje. Swala la ushoga wa Jamal sijaliweka akilini so sioni changamoto yoyote ktk hilo.