Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,977
- 46,643
Nimeisubiri muda mrefu 😁mapema kabisa ushawahi siti, hutaki kuchelewa 😅
Nimeisubiri muda mrefu 😁mapema kabisa ushawahi siti, hutaki kuchelewa 😅
Hio atomic ipojeiooje
Ndio naishusha muda huu, ila inahusu mambo ya Uranium smuggling and threats huku AfricaHio atomic ipojeiooje
Achana nayo, haijanishawishi kabisaHio atomic ipojeiooje
Kuwa na Subira mkuuKwahiyo wakuu hii The Day of the Jackal inaendelea lini?
Ndio maana sipendi kuangalia series za kama ivi yaan inakata kwenye utamu kabisa
Mr Miguel mmexico/mcolombia iyo Mobland Tom Hardy sijamuona akicheka ni moja ya movie ambayo ni kali kali kali sana kwa huu mwaka daaah aloooo season kali hii!!!Kuwa na Subira mkuu
Mm hapa nasubiri Mobland,Mayor of Kingstown, Berlin n.k
Na bado nimekausha![]()
Noma sana kaka Tom kasimamia show vyemaMr Miguel mmexico/mcolombia iyo Mobland Tom Hardy sijamuona akicheka ni moja ya movie ambayo ni kali kali kali sana kwa huu mwaka daaah aloooo season kali hii!!!
Nilipenda sana pale alipomwambia Eddie kuhusu bint yakeMr Miguel mmexico/mcolombia iyo Mobland Tom Hardy sijamuona akicheka ni moja ya movie ambayo ni kali kali kali sana kwa huu mwaka daaah aloooo season kali hii!!!
Mtazamo wangu Mobland kali kuliko the JackalNoma sana kaka Tom kasimamia show vyema
Yule dogo muhun sana anamsikiliza bibi yake gangster wa zamanNilipenda sana pale alipomwambia Eddie kuhusu bint yake
Kama ukionyesha tabia njema mm Nina accept mahusiano yenu
na hapo akijua kabisa lile toto livuta unga lilevi limeeingiza familia kwenye majanga makubwa hawezi kuwa husband material ,dogo aksbaki kaduwaa Kwa hofu![]()
bibi yake akomswitch tu kajaaLabda nahisi mahudhui ni Tofauti kidogo sema mobbland Iko na uhalisia Fulani hivi vile tunavyoushiMtazamo wangu Mobland kali kuliko the Jackal
Hahahaha Bibi ukiwa na alosto anakupa mtingoYule dogo muhun sana anamsikiliza bibi yake gangster wa zamanbibi yake akomswitch tu kajaa
Yeah inauhalisia sana kwa upande wangu pia napenda sana movie za wahun kama vile Gangs of LondonLabda nahisi mahudhui ni Tofauti kidogo sema mobbland Iko na uhalisia Fulani hivi vile tunavyoushi
Ni Kali sanaNaomba mrejesho Naked Gun kabla sijachoma MB
😃😃😃 Director ni muhuni sana sema mwana kamfaidi sana mkeweNimeicheki ni nzuri, director alijifikiria nini kuwaita mtu na mke wake 😅
We jamaa kweli unajua best horror movie Kuna 13 sins nayo Kali sanaKuna horror nzuri tu kama final destination SAW na nyingine ni ya muda Kuna vijana walienda likizo sijui mnaita vakesheni kwenye mjengo mmoja uko porini wakafanyiana unyama dada mmoja akafanya revenge aliwaua sana.
Na Kuna nyingine
Texas chain saw
Hills have eyes
Drag me to hell
Baombeni top ten za horror zenye uhalisia Yani damudamu nyingi revenge watu wanakatana viungo za hivyo Yani na sio zile za kupata natanguliza shukrani