Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kama una Kumbuka kipindi Ethan ana ingia kwenye ile machine ya kuwasiliana na entity, ali ambiwa ita m control, na hakutakuwa na siri yoyote atakayo lificha.

1) ai imesha take control ya baadhi ya watu, kwa kuwafanya wali tegemee kwenye kila kitu.
Wengine mpk wana liita mpenzi, buddy.

2, ai ina kusanya data zako na kuzi tumia dhidi yako, imagine una ona google aki share na wewe vile vitu uli sema au zungumza nalo.
Kuna ile acc ya "Dangerous Ai" kama ushaicheki jamaa anatengeneza interview za wachezaji na makocha wakiongea vitu vya kuchekesha ambavyo hawawezi kuviongea kwenye media, ukicheki video kama interview ya kweli kabisa, ipo kwenye IG, youtube na tik tok
 
Kuna ile acc ya "Dangerous Ai" kama ushaicheki jamaa anatengeneza interview za wachezaji na makocha wakiongea vitu vya kuchekesha ambavyo hawawezi kuviongea kwenye media, ukicheki video kama interview ya kweli kabisa, ipo kwenye IG, youtube na tik tok
Yap, hiyo nayo ime zungumziwa kwenye m.impossible.

Infact hata imesha anza kufanya kazi, mfano celebrity kadhaa video zime sambaa ziki onyesha waki fanya kitu fulani halafu kumbe siyo.
 
Yap, hiyo nayo ime zungumziwa kwenye m.impossible.

Infact hata imesha anza kufanya kazi, mfano celebrity kadhaa video zime sambaa ziki onyesha waki fanya kitu fulani halafu kumbe siyo.
hiyo ni ya kweli kabisa ukingia insta, youtube au tik tok ukisachi dangerous Ai utakuta video nyingi za interview za wachezaji ila maneno wanayoongea utacheka mwenyewe
 
Kuna ile acc ya "Dangerous Ai" kama ushaicheki jamaa anatengeneza interview za wachezaji na makocha wakiongea vitu vya kuchekesha ambavyo hawawezi kuviongea kwenye media, ukicheki video kama interview ya kweli kabisa, ipo kwenye IG, youtube na tik tok
Infact kuna interview musk ali fanya na joe Rogan, ali zungumzia why ai should be limited.
itafute iko pale joe Rogan podcast.

SIyo yeye tu, a couple of tech guys wame zungumzia hilo pia.
 
hiyo ni ya kweli kabisa ukingia insta, youtube au tik tok ukisachi dangerous Ai utakuta video nyingi za interview za wachezaji ila maneno wanayoongea utacheka mwenyewe
Hiyo ni sehemu ndogo ya balaa lenyewe, what if iki Anza kutumika kufanya propaganda ya baadhi ya mambo?.

Maybe mtu ai prompt isambaze chuki baina ya washika dini, nchi na nchi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom