Kumbe tupo wengi, subiri mkuu tar 25😂Hii Black Mafia Family mbona kuna delay ya kuachia E07 ya S04
😂napita kila mara naona no release, jamaa wamerusha week nzima🚮Kumbe tupo wengi, subiri mkuu tar 25😂
tumia idm mkuuSioni option ya kudownload kwenye PC ipo ya kuplay tuu. Nisaidie nafanyaje niweze kudownload Vincenzo Jr
majukumu kakaumepotea sana kaka, majukumu au ulikuwa umetoka kidogo nje ya nchi ku refresh mind 😀
Carleen naye siku hizi hapatikani, kazi nyingi au kajifungia ndani anapunguza movie za kwenye list yake 😆😆
Nimesikitika sana.kuna.series ulii recommend nikaishusha full package ktk kufutafuta vitu nikaifuta. Bahati mbaya sana siikunbuki japo ilikuja baada ya kuwa nimepost kwamba nimeikubli BARRY ndo ukaipendekeza.
hapa nilikuwa nazisubiri kwa hamu bride hard na materialists nimezipakua kutazama bado…!
😂😂😂umepotea sana kaka, majukumu au ulikuwa umetoka kidogo nje ya nchi ku refresh mind 😀
Carleen naye siku hizi hapatikani, kazi nyingi au kajifungia ndani anapunguza movie za kwenye list yake 😆😆
una mazao gani 😀😂😂😂
na niliwamiss na nikajiuliza hawa watu wapo kweli mbona kimya sana..?
hujui msimu wa mavuno huu dosho..?
nimeshavuna maharage, mahindi na alizeti..una mazao gani 😀
Hongera sana, 👍🏻👍🏻nimeshavuna maharage, mahindi na alizeti..
sahii navuna dengu..!!
Ni dengu hizo hizo, dengu si unazifahamu lakini..?Hongera sana, 👍🏻👍🏻
nna swali Hivi mbegu za dengu huwa zikoje sijawahi kuziona kabisa
😅😅nazijua dengu, si zile za njano ambazo unga wake ndo wanapikia bajiaNi dengu hizo hizo, dengu si unazifahamu lakini..?
yes…😅😅nazijua dengu, si zile za njano ambazo unga wake ndo wanapikia bajia
Fargo kali mkuuUmenikumbusha ngoja nipakue fargo5. Hiyo friends&neighb ni story tu au ipoje?

