dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,736
- 9,989
Hii nilisha iona, zinataka kufanana na strawNa Kuna chuma kingine hiki hapa kitafuteni wanangu 😎😎View attachment 3363766
Hii nilisha iona, zinataka kufanana na strawNa Kuna chuma kingine hiki hapa kitafuteni wanangu 😎😎View attachment 3363766
Exactly 💯 kakaHii nilisha iona, zinataka kufanana na straw
Hizi ni series au movie ?The Six Triple Eight
Divorce in the Black
A Widow's Game
Duplicity
Really Love
The Front Room
The Photograph
Origin
A Journal for Jordan
ATL
Anyone but You
Road to Yesterday
Lionheart
Kama unapenda thriller na drama mapenzi mixer usaliti zitafuteni hizi
Ni movie kakaHizi ni series au movie ?
Hapo sawa nilijua series, maana series zinakatisha tamaa pale unakuta ni nzuri na hujaiona ila ina season 8 😁😁Ni movie kaka
Inakata Sana,Hapo sawa nilijua series, maana series zinakatisha tamaa pale unakuta ni nzuri na hujaiona ila ina season 8 😁😁
Unfaithful,The Six Triple Eight
Divorce in the Black
A Widow's Game
Duplicity
Really Love
The Front Room
The Photograph
Origin
A Journal for Jordan
ATL
Anyone but You
Road to Yesterday
Lionheart
Kama unapenda thriller na drama mapenzi mixer usaliti zitafuteni hizi
Hiyo a Journal to Jordan niliipenda sana love story yao kabla hawajaanza mambo ya kulia lia, yaani kuna time hua naitamani ile feeling ya kufall inlove na mtu (mpya) sijui mnaielewa ukiona simu yake unatengeneza koo vizuri unajilaza kwa bed unaongea kwa mapozi, unaweza ukaongea na simu usiku mzima na usione shida, ukikaa sehem unaisikia harufu ya manukato yake, hata ukiwa busy vipi lazima across on your mind then you smile alone, kuna wakati unapitia convos zenu zooooote mwanzo mwisho unacheka peke yako, lol mambo ni mengi ila hua siipendi ile part ya kuanza kuargue na kununiana, aargh!Hizi ni series au movie ?
Kat McAlester alisema yule mama ni Mad dog angalia mipango jinsi alivyomset yule dogo Eddie afanye matukioConrad na ubabe wake wote hapa anapiga magoti
😂😂😂😂😂😂😂
Me hadi sahii napata shida kufungua dirisha usiku..🙌
Ngoja nitaitafuta baada ya Peak Blinder lakiniHapo utakoma hiyo the sinner ni series sio ile singo mkuu
Akiwa anakula kitu unamwambia "napenda unavyotafuna" ila mkishanza kuargue " emu tafuna vizuri bwana una matatizo gani, huna meno au" 😄😄😄Hiyo a Journal to Jordan niliipenda sana love story yao kabla hawajaanza mambo ya kulia lia, yaani kuna time hua naitamani ile feeling ya kufall inlove na mtu (mpya) sijui mnaielewa ukiona simu yake unatengeneza koo vizuri unajilaza kwa bed unaongea kwa mapozi, unaweza ukaongea na simu usiku mzima na usione shida, ukikaa sehem unaisikia harufu ya manukato yake, hata ukiwa busy vipi lazima across on your mind then you smile alone, kuna wakati unapitia convos zenu zooooote mwanzo mwisho unacheka peke yako, lol mambo ni mengi ila hua siipendi ile part ya kuanza kuargue na kununiana, aargh!
ukiona upo kwenye Pendo linaserereka tu halina kashkash wala speed humps then brace for the impact..!!🙌Hiyo a Journal to Jordan niliipenda sana love story yao kabla hawajaanza mambo ya kulia lia, yaani kuna time hua naitamani ile feeling ya kufall inlove na mtu (mpya) sijui mnaielewa ukiona simu yake unatengeneza koo vizuri unajilaza kwa bed unaongea kwa mapozi, unaweza ukaongea na simu usiku mzima na usione shida, ukikaa sehem unaisikia harufu ya manukato yake, hata ukiwa busy vipi lazima across on your mind then you smile alone, kuna wakati unapitia convos zenu zooooote mwanzo mwisho unacheka peke yako, lol mambo ni mengi ila hua siipendi ile part ya kuanza kuargue na kununiana, aargh!
the six triple eight nililia pale yule dada yupo kaburini kwa mchumba wake, Mr. akaanza kunicheka maana anajua kulia kwenye movie ndiyo shughuli zangu..The Six Triple Eight
Divorce in the Black
A Widow's Game
Duplicity
Really Love
The Front Room
The Photograph
Origin
A Journal for Jordan
ATL
Anyone but You
Road to Yesterday
Lionheart
Kama unapenda thriller na drama mapenzi mixer usaliti zitafuteni hizi
😃😀😀Pole mwanangu 😎 pale Hadi Mimi nilikuwa sad sana aiseethe six triple eight nililia pale yule dada yupo kaburini kwa mchumba wake, Mr. akaanza kunicheka maana anajua kulia kwenye movie ndiyo shughuli zangu..
Hapo nimeona tu 3, the 6 triple 8, duplicity na divorce in the black..! thank you Cassano, nitazitafuta nikaendelee zangu kulia..!!🥹
Nikimcheki lucious lyon alafu nikaja kuangalia na idea anazotoa terrence kuhusu physics huwa nashangaa, jamaa kumbe na akili, genius levelChuma kingine kwa wapenda mziki mzuri![]()
Mwana fundi sana huyuNikimcheki lucious lyon alafu nikaja kuangalia na idea anazotoa terrence kuhusu physics huwa nashangaa, jamaa kumbe na akili, genius level