Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,240
- 79,788
Ndio kakaNetflix si huwa wanashusha mzigo wotr?
Ndio kakaNetflix si huwa wanashusha mzigo wotr?
Nakumbuka ile muvi ilikuwa na mkono vipi humu watu wanapigwa ngumi za koromeo niishushe?
Hii criminal code?Nakumbuka ile muvi ilikuwa na mkono vipi humu watu wanapigwa ngumi za koromeo niishushe?
hivi the cleaning lady hiyo ya 4 umeitazama..??
SherlockHii criminal code?
Mara hii hata 2 sijaiangalia. Ngoja nijitahidi basiBado siku chache sana mwanangu 😎 Cc Carleen dosho12 Mr Q if cap fits Angel Nylon
View attachment 3357644
Season 3 tayari.tuna subiri season 4 sasa hv nahisi itakuwa mwakani, season 3 ulishaimaliza au bado ?
Iliishia jade na tabitha wamegundua maana ya ule msemo wa aghkooney na kuwa naisha yao yanajirudia kila wanaposhindwa kuwasaidia wale watoto, pia jullie kajua kwa yeye ni story walker hivyo kaenda kurekebisha kifo cha baba yake aliuawa na yule mzee monster mwenye anayetembea hadi mchana, sara kamtesa adrien na kujua wapi adrien alipomficha fatima na mimba yake ya ajabu, mtoto kazaliwa kumbe ni mr smiley.Season 3 tayari.
Hii ya mchongo achana nayoSherlock
Vimidoli 😁😁😁😁Nimeangalia From season 1 ep 01 kuna scene julie anamsimulia ethan story kaweka vimidoli kwenye vidole mmoja wa mdoli anaitwa norman, kasimulia kisha norman akafa kwenye story, ethan akamwambia julie "bring him back, you have to bring him back", nikaanza kufikiria huenda ma directors walikuwa wanatuonyesha hints za julie alivyo sababu sidhani series kama from wanaweza kuweka dialogue ya aina ile alafu iwe ni ya kusongeza scene mbele haina maana, pia ep 02 kipindi wanawapeleka kwenye colony house baada ya kutoka kwenye ajali kuna Monster mmoja alimuita julie kisha akamwambia "don't you recognized me" julie akabaki anashangaa tu, huenda labda huyo ni monster ambaye alikutana naye kipindi anajaribu ku time travel kila matukio ili abadilishe story.
Vincenzo Jr Dr. Mariposa Carleen sawima
hebu Mr Q tuache, huwezi yaelewa haya mambo kabisa..!😂😂Vimidoli 😁😁😁😁
🔥🔥🔥Nimeangalia From season 1 ep 01 kuna scene julie anamsimulia ethan story kaweka vimidoli kwenye vidole mmoja wa mdoli anaitwa norman, kasimulia kisha norman akafa kwenye story, ethan akamwambia julie "bring him back, you have to bring him back", nikaanza kufikiria huenda ma directors walikuwa wanatuonyesha hints za julie alivyo sababu sidhani series kama from wanaweza kuweka dialogue ya aina ile alafu iwe ni ya kusongeza scene mbele haina maana, pia ep 02 kipindi wanawapeleka kwenye colony house baada ya kutoka kwenye ajali kuna Monster mmoja alimuita julie kisha akamwambia "don't you recognized me" julie akabaki anashangaa tu, huenda labda huyo ni monster ambaye alikutana naye kipindi anajaribu ku time travel kila matukio ili abadilishe story.
Vincenzo Jr Dr. Mariposa Carleen sawima
Hata style ya nywele ilikuwa tofautikuna uwezekano kabisa Julie anafahamiana nao, sababu naamini hata pale that guy with the yellow suit alipomuua baba yake inawezekana siyo present time, maana pale Julie alikuwa kama amebadilika muonekano kabisa,
Mi naona wamemsaidia maana tabitha na jade kuna feeling zinaanza kutokoea na jamaa atakuwa anatia huruma hivyo bora wamsaidie kumuua😁😁sitaki kuamini wamemuua that guy, watanikwaza sana..!!
tabitha na Jade walikuwa wazazi tena nadhani wa yule binti alienda chuchumaa pale Jade anapiga violin..! 🙌Mi naona wamemsaidia maana tabitha na jade kuna feeling zinaanza kutokoea na jamaa atakuwa anatia huruma hivyo bora wamsaidie kumuua😁😁
😅😅 jamaa anakipaji sijaona tabasamu la mtu likatisha kama la yule jamaaNa kwanini wamemu - reincarnate 'Smiley', wamenikwaza sana..!!
Ilibidi nimtafute Jamie McGuire in real world kwa kweli..!😂😂🙌😅😅 jamaa anakipaji sijaona tabasamu la mtu likatisha kama la yule jamaa