Series (Special thread)

Series (Special thread)

Jamani nimeliaaaaaa yaani Joel ndio kafa tena kikatili vile daaah!
Scene ya mwisho wakati wanauburuta mwili kwenye farasi imenifikirisha sana kua Binaadam si chochote, Joel alienda pale akiwa na miguu yake na pumzi zake dakika chache baada anarudishwa akiwa amefungwa kwenye kiroba na kuburutwa,
hii scene iko so emotional sana 😭😭😭😭
 
Jamani nimeliaaaaaa yaani Joel ndio kafa tena kikatili vile daaah!
Scene ya mwisho wakati wanauburuta mwili kwenye farasi imenifikirisha sana kua Binaadam si chochote, Joel alienda pale akiwa na miguu yake na pumzi zake dakika chache baada anarudishwa akiwa amefungwa kwenye kiroba na kuburutwa,
hii scene iko so emotional sana 😭😭😭😭
Wakati naangalia nilikuwa najipa moyo ellie atawahi au ataamua kumsamehe joel hawezi kufa yeye ndio muhusika mkuu mara kachomwa na nondo sikuamini nikasema watampeleka hospitali, ila nilivyo ona kafungwa vile ndo nikaamini
 
Cc dosho12
20250421_171714.jpg
 
Kuna 1. Behind her eyes 2. House of David 3. The wheel of time 4. Silo 5. Dune prophecy 6. The Capture 7. Who is Erin carter 8. Brave 9. Twilight Zone 10. Arcane ( animation ) 11. No escape
Nahisi nyingi ushaziona hapo
Silo
Arcane
Wheel of time
Brave
Nishaziona...
Mm napenda series hata isiwe na actions ila writing iwe imetulia unasikiliza conversation hadi unaona raha. Niliimjoi sana series ya Reacher imeandikwa vizuri sana
 
Kama sio mgeni jf basi utakua unajua kua I'm something of a writter myself
Kuna jamaa mmoja anachannel youtube anaitwa Tyler mowery sijui unampata huwa anazungumzia kuhusu story development jamaa anajua me huwa nacheki video zake
Na channeli nyingine ya studio binder wako vizuri mno
 
Nimeanza series ya Nine bodies


Vip inafaaa au miyeyusho tuu
Kwangu Ni ya kawaida
Ukitoa ile hamu ya kujua nani analiye waua wale watu, hakuna kingine cha ziada ending yake kwangu haikuwa nzuri.
Hivyo kama unaangalia usitake kujua mwisho pakoje utakuwa ushamaliza series hivyo angalia kwa ile shauku ya kujua nini kulitokea
 
Kwangu Ni ya kawaida
Ukitoa ile hamu ya kujua nani analiye waua wale watu, hakuna kingine cha ziada ending yake kwangu haikuwa nzuri.
Hivyo kama unaangalia usitake kujua mwisho pakoje utakuwa ushamaliza series hivyo angalia kwa ile shauku ya kujua nini kulitokea
Hii niliangalia episode 1 tu nikaona muendelezo unaweza usiwe mzuri kama nilivyotarajia nikafuta.

Inaweza kuwa season nzuri ila kwangu nimeona nifocus na mizigo mikali zaidi inayotoka.
 
Jamani nimeliaaaaaa yaani Joel ndio kafa tena kikatili vile daaah!
Scene ya mwisho wakati wanauburuta mwili kwenye farasi imenifikirisha sana kua Binaadam si chochote, Joel alienda pale akiwa na miguu yake na pumzi zake dakika chache baada anarudishwa akiwa amefungwa kwenye kiroba na kuburutwa,
hii scene iko so emotional sana 😭😭😭😭
Dah! Hii ni zaidi ya kuspoil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom