Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nimejifunza kwenye hiyo muvi kwamba.

Hapa bongo watu wakiitana familia ujue basi ni kukutana mezani kula, kwenyr vikundi vya akina mama, kukopeshana ada za watoto na mambo mengine madogomadogo. Ila likikukuta jambo ambalo litahotaji mtoke mwende kulimaliza kimyakimya... Hiyo inayojiita familia inakutenga.

Ila kwa wenzetu ukiangalia hio muvi, na series kama gangs of london, the GentleMen wanaonesha ni jinsi gani jambo likimpata mwenzao basi ujue ni la kwao wote.

Nikijifanyia tathmini sioni kama ninarafiki anae weza shika silaha kwa ajili yangu akaja pori kunisaka au kuniokoa na jambo fulani.

Wabongo buaaaanaaa 😁😁😁😁
Hahaha mzeee wewe hamna MTU waku risk maisha Kwa sababu yako😂😂😂

Hata wife wako tuu anakuacha

Sio mambo mazuri saana, kikubwa mwenyezi Mungu atuepushe na mitiani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom