Series (Special thread)

Series (Special thread)

Naomba link ya app maana nikadownload kwa Google inaniambia ni update kwa playstore
 
Kama ujaangalia hii inabidi ukamatwe upigwe fimbo
 

Attachments

  • 20250418_211012.jpg
    20250418_211012.jpg
    196.7 KB · Views: 11
Nipo episode ya pili ya dare devil naomba niseme kwamba nilichelewa kukijua hiki kigongo na nnajuta kwanini sikuangalia dare devil zilizo pita๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Nilikuwa nazifananisha na mamuvi ya spiderman The Adam, Dead pool, Agent of shield n.k kumbe nilikuwa nakosea.

Kwanza ina episode za kutosha, pili ina kamkong'oto ndani yake, tatu ina stori nzuri nne utaongezea mwenyewe
kuna dirt cops wamekipata walichokuwa wanakitafuta
Mule kale kabinti kalichokuwa kanamsaidia yule mwanetu ni kana mvuto sana
 
Kabisa, unapenda mfumo upi kati ya episode moja kila wiki au ule wa kuachia episode zote siku moja
Mifumo yote naipenda kaka sema ule wa Moja Moja nilianza kuruka nao Toka 2010 kipindi nacheki fringe ilikuwa Kila jumapili tunapata EP Moja ila nilianza kuwakubali Netflix walivyoingia sokoni wakaja na utaratibu wa mizigo yote inaachiwa siku Moja boom niliwakubali sana na wanaendelea hadi Leo ila wale wa Moja Moja wanatageti watazamaji wengi Sana kwa siku husika maana unaweza kumwaga mzigo wote kitu kisiende mjini
 
Kabisa, unapenda mfumo upi kati ya episode moja kila wiki au ule wa kuachia episode zote siku moja
Nothing beats mfumo wa kuachia episodes zote. Alicho nifanya the day of the jackal na Hijack, sitaki kuangalia episode mojamoja. Bora angalau zifike tano ndio nianze kuangalia.

Thats why mobland nimeiacha kwanza isogee na kwa sasa naendelea na Dare devil nikimaliza naenda gangs of london na kisha nimalize na true detectives, sherlock, slow horses ambazo zote zimekamilika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom