dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,710
- 9,883
Venom ipi mkuu au zote tuTom Hardy, hanaga kazi mbaya huyu baharia (kasoro Venom).
Venom ipi mkuu au zote tuTom Hardy, hanaga kazi mbaya huyu baharia (kasoro Venom).
Panya road hawajikojolei kizembe kama dogo.angekuwa bongo huyo angekuwa panyaroad 😄😄😄
😂😂😂 nakumbukaPanya road hawajikojolei kizembe kama dogo.
😂😂😂
Au umesahau ile scene polisi wanavunja mlango wa ghetto, dogo kojo limemtoka kwa wenge?
Hii ya mwisho mkongwe, mimi binafsi haijanibariki, ila hizi kitu nafikiri ni taste and preference, unaweza kuona kitu mbaya wenzako wakaona ni kali ile kinoma.Venom ipi mkuu au zote tu
Kitambo sana tumesema, ni vile hamzingatii tu.Kumbe Fargo ya moto hivi na watu hamsemi 😄
View attachment 3291472
Hii hapa 🚮 🗑️, ukiiona LINDA MB zako.Kuna muvi yoyote ya huyo jamaa imewahi kuzingua?
Oya mnatukumbusha mbali aisee!
Sa ilizingua nini hii mkuu?
Utoto na scenes za ngono zisizokuwa na mashiko.Sa ilizingua nini hii mkuu?
Na wakishakunywa yale madawa yaoUtoto na scenes za ngono zisizokuwa na mashiko.
Your Honor hii nitaitafuta napenda sana series za hiviKama ni ndio hizo pia ni ladha zangu kwa sabab maisha haya maisha hujui lipi linaweza kukutokea na namna gani unaweza kulitatua.
Napenda kuona namna watu wanacheza na vifungu vya sheria kuruka viunzi vya kesi zinazo wakabili.
Nikikumbuka kwenye series ya your honor namna yule mzee alivyo chezesha sheria nikabaki kinywa wazi.
Kuna scene Yonathan macho yalimtoka alipoona kiganja cha mwamba Goriath kwenye ukuta ikabidi alinganishe na kiganja chakeHuyu Goliath wa kwenye House of David anaongea Sana aisee, jitu giant lakini linachonga balaa maneno meeengi. Ila naipa 7.0
Itafute. Kuna mzee mmoja aliye igiza kwenye breaking bad mwanae aligonga mtoto mwenzake ambaye huyo mtoto ni wa mafia mmoja hivi. Shughuli ikaja namna ya kukwepa mkono w huyo mafiaYour Honor hii nitaitafuta napenda sana series za hivi
Jamaa azeeki aisee nimeanza kumuona Toka 2004Sorry kwa namna nilivyo piga picha na ubovu wa camera. Hapa ndo namwona Jason akitoa maelekezo kwa wafanyakazi wenzakeView attachment 3293384
Ila nimeifuta naona quakity bado ina randana na CAM kuna mwangwi wa sauti nausikia nasubiri wakiipakia muviemod niishushe huko. Sauti haijakaa sawa. Acha nitembee na black bag kwanzaJamaa azeeki aisee nimeanza kumuona Toka 2004
Kwa jinsi mwamba anavyoipiga spana,hakuna mtu ataiwezaNimeghairi kuichukua
Aisee na mie nilishapita nayo sema umeme huku hamna tanesco wamefanya uhuni aisee umeme ukirudi nitaifuta aiseeIla nimeifuta naona quakity bado ina randana na CAM kuna mwangwi wa sauti nausikia nasubiri wakiipakia muviemod niishushe huko. Sauti haijakaa sawa. Acha nitembee na black bag kwanza
Uicheki kwanza uone kama iko sawaAisee na mie nilishapita nayo sema umeme huku hamna tanesco wamefanya uhuni aisee umeme ukirudi nitaifuta aisee
Ipe muda wako hutajutiaHii sijawahi kuona