Series (Special thread)

Nipe story yake kidogo Cassano..!!
Carleen Ngoja nikupe kisa chake Vincenzo Jr hajakuelezea vizuri iko hivi dogo amekamatwa na polisi kwa kuhusiwa amemuua classmate wake so anafanyiwa mahojiano ili ijulikane ukweli na haijulikani je ni kweli ameua au hapana? Na Kama si yeye ni Nani? Maana mazingira yote yanaonesha yeye ndio mshukiwa mkuu na pia ni kwanini classmate ameuwawa yote hayo ni maswali ili upate majibu yake ifuatilie hiyo series
 
Shukrani sana H, hiyo walaqhi' siyo ya kukosa..!!πŸ™πŸ™

Na hivi bado unaishabikia Chelsea ama umewaacha wenyewe..?πŸ˜‚
 
Unaweza kutoa mkasa kwa ufupi mkuu ili ikinifaa nikaruke nayo
Jobless_Billionaire Inahusiana na mkuu wa magaidi wa London anauliwa na vijana wawili walipewa hiyo kazi baada ya hapo familia ya mkuu wa magaidi wanataka kulipa kisasi kwa kuchunguza wakina Nani wamehusika na kifo cha huyo baba yao na kwanini wamemuua huyo mzee wao kisanga kinaanzia hapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…