Series (Special thread)

Series (Special thread)

Baada ya kumaliza Snowfall nikadownload BMF(black Mafia Family) nimeimaliza leo kwa masikitiko kusubiri mpaka watapotoa muendelezo wake ila ni bonge moja la series.

Namove forward na kigongo kingine kipya hakuna kupoa huu mwaka ni bandika bandua🥱
View attachment 3264046
BMF inaweze isiendelee sababu ya ugomvi uliotekea baina ya Meech na 50 cent ambaye ni producer sijui kama wataweza kuisolve issue hii wakaludi mezani
 
BMF inaweze isiendelee sababu ya ugomvi uliotekea baina ya Meech na 50 cent ambaye ni producer sijui kama wataweza kuisolve issue hii wakaludi mezani
Ndo nimetoka Google kuona apa kisa tu Big Meech kaenda na Rick Ross kwenye welcome party wakati huo Rick Ross anabifu na 50cent.
 
Ichekini hii serious Kali sana ni ya kirussi
MV5BMGQ2MTIwMWQtNTE0My00NjY5LWFkOGMtZDQzMjQ3MTVkYTc1XkEyXkFqcGc@._V1_.jpg

Inahusiana na jamaa moja ambaye ni criminal ambaye ameshakinukisha kwenye makundi ya kigaidi na vile vile anatafutwa na polisi so mara nyingi kukwepa kukamatwa au kujulikana huwa anaamua kujibadilisha sura kwa kufanya surgery Sasa akaamua kuchukua sura ya mfanyabiashara fulani ambaye Hana Mambo ya kiharifu kabisa, huyo mfanyabiashara anajikuta anaingia kwenye balaa zito kwa sababu ya yule criminal kuchukua sura yake na kufanya matukio ya kiharifu. Yaani hii series inahamshahamsha mwanzo mwisho ni Kali sana
Vincenzo Jr
Mr Q
 
Ichekini hii serious Kali sana ni ya kirussiView attachment 3264416
Inahusiana na jamaa moja ambaye ni criminal ambaye ameshakinukisha kwenye makundi ya kigaidi na vile vile anatafutwa na polisi so mara nyingi kukwepa kukamatwa au kujulikana huwa anaamua kujibadilisha sura kwa kufanya surgery Sasa akaamua kuchukua sura ya mfanyabiashara fulani ambaye Hana Mambo ya kiharifu kabisa, huyo mfanyabiashara anajikuta anaingia kwenye balaa zito kwa sababu ya yule criminal kuchukua sura yake na kufanya matukio ya kiharifu. Yaani hii series inahamshahamsha mwanzo mwisho ni Kali sana
Vincenzo Jr
Mr Q
Kwenye kuisaka unaandika MEPTB HA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom