Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,981
- 46,680
Oh ngoja nayo biishushe sasaUnapenda movie za siri iliyofichika hivyo inafichuliwa kidogo kidogo na mwisho unagundua movie ipo sivyo ulivyokuwa unafikiria. Hii ipo kama hiyo
Oh ngoja nayo biishushe sasaUnapenda movie za siri iliyofichika hivyo inafichuliwa kidogo kidogo na mwisho unagundua movie ipo sivyo ulivyokuwa unafikiria. Hii ipo kama hiyo
Tena ina episode sita tuOh ngoja nayo biishushe sasa
Hiyo rate mbona unanihamasisha sananimemaliza kuicheki hiyo season ni kali naipa 9.4/10
Ni nzuri mimi mwenyewe Vincenzo Jr alivyoniambia nikaiangalie sikuamini sana nikachukua kwanza ep moja tu ila baadae nikaja gundua ni series moja nzuriHiyo rate mbona unanihamasisha sana
Nitaitafuta sasaNi nzuri mimi mwenyewe Vincenzo Jr alivyoniambia nikaiangalie sikuamini sana nikachukua kwanza ep moja tu ila baadae nikaja gundua ni series moja nzuri
Acheki evil dead 2013 hiyo inafaa mwanangu😎Vincenzo Jr naomba movie inayotisha, siyo ya mazombie hapana, kuna mtu anataka picha linalotisha mpaka aikimbie television..😂😂
Vipi umemuonaje yule mtoto Louisa na Adele Dave alikuwa anaenjoy sana aisee 😀 😀Ni nzuri mimi mwenyewe Vincenzo Jr alivyoniambia nikaiangalie sikuamini sana nikachukua kwanza ep moja tu ila baadae nikaja gundua ni series moja nzuri
😃😃😃😃Itafute kaka ukicheki EP Moja tu utaipenda aiseeKijana wangu trela nzima ya behind her eyes kisu kimekata pilipili hoho tu?
🙊🙊🙊🙊🙊
The innocent ya mwaka gani
Siwezi kumlaumu dave ni kosa ambalo hata mimi nahisi ningefanya 😁😁 ila adele pia ni mzuri , dah kweli jamaa alikuwa anaenjoy, angekuwa ni skekh angevuta wote wawili 😁😁😁Vipi umemuonaje yule mtoto Louisa na Adele Dave alikuwa anaenjoy sana aisee 😀 😀
Zipo mkuuIvhi hii series ya fauda haina version ya kiingereza?
Kabisa mkuu sema hata kile ki blaki Louisa nacho kina vaibu sana kale alikuwa anampa jamaa ofisini mixer homeSiwezi kumlaumu dave ni kosa ambalo hata mimi nahisi ningefanya 😁😁 ila adele pia ni mzuri , dah kweli jamaa alikuwa anaenjoy, angekuwa ni skekh angevuta wote wawili 😁😁😁
2021 inatakiwa uicheki kaka ni Kali mno hiyoThe innocent ya mwaka gani
Imepoa aisee nimeshindwa kuendelea zimekaa kwenye storage yangu tuParadise nzuri ila imepoa sana
Mbna watu wanasema ni ya moto sanaImepoa aisee nimeshindwa kuendelea zimekaa kwenye storage yangu tu
Hakuna action za kibabe kabisaImepoa aisee nimeshindwa kuendelea zimekaa kwenye storage yangu tu
Sio kila series kali basi iwe na action. Kuna drama nzuri sana mule ndani.Hakuna action za kibabe kabisa
Mkuu nimeangalia series nyingi sana, zenye actions na zisizo na actions. Najua ninachokiongeaSio kila series kali basi ile na action. Kuna drama nzuri sana mule ndani.
Sometimes series unaweza usiielewe ila ulimwengu wa tamthilia ukaikubali.
Baada ya kumaliza Snowfall nikadownload BMF(black Mafia Family) nimeimaliza leo kwa masikitiko kusubiri mpaka watapotoa muendelezo wake ila ni bonge moja la series.Nmemaliza series ya Snowfall yote leo kesho Mungu akipenda nataka nishushe chuma kingine. Hii series ni kali sana
View attachment 3249484