Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Sijazicheki,ipoje?....real husband of Hollywood umeicheki?sielewi hata ni series au nn ila inachekesha
Mimi nimeipenda breaking bad..nashauri series gani nyingine kama hiyo.asante
Sijazicheki,ipoje?....real husband of Hollywood umeicheki?sielewi hata ni series au nn ila inachekesha
Mimi nimeipenda breaking bad..nashauri series gani nyingine kama hiyo.asante
Sijazicheki,ipoje?....real husband of Hollywood umeicheki?sielewi hata ni series au nn ila inachekesha
Homeland
Haha hio ndio Kevin hart yupo au nimechanganya,naangalia real housewives of Atlanta,love n hiphop hizo ni reality show I think sawa na hio real husband...
Tyrant ni nzuri inahusu middle east country abbudin na governance yake itafute hii am sure utaipenda
Power ni ya 50 cent drug issues ina compete na empire,I prefer power zaidi
Kuna Scorpion
Black sails
House of cards
Power
Believe
White collar
Mkuu breaking bad imenifundisha mengi,na ni series kali sana sijui nifananishe na ipi ila hebu angalia burn notes au leverage nadhani unaweza kuvutiwa,but still breaking bad ipo juu
Mkuu nilivyoangalia ni kama legend of the seeker ,hiyo legend nimeangalia ila sijavutiwa na series za type zile,mi napenda aina za series kama
- leverage
-barn notice
- strike
- preason break
-strike back
Yaani ukiangalia ni kama ndani yake kuna mambo ya intelijensia
Au hata dexter,kuhusu mafia au zile za comedy how I met your mother
Revolution mwanzoni hainogi ila imenogeshwa na huyu jamaa![]()
hiyo boardwalk empire ninayo ni kali,nilidownload bahati mbaya nia yangu ilikuwa kudownload empire,ni kali sana,nimeangalia season zote 3
huyo jamaa mbona ni wa kwenye braking bad hiyo scene uliyochukua hii picha alikua anaitwa gustavo fringhuyo jamaa mtata..inanoga kama mtu ukianza unafatilia ile concept ya umeme kukatika dunia nzima na all states including powerful state kucollapse na kurudi katika hali kama ya feudalisim and feaudal states,mwandishi wa hii kitu mjanja sana
huyo jamaa mbona ni wa kwenye braking bad hiyo scene uliyochukua hii picha alikua anaitwa gustavo fring
Mkuu ila kwenye series zote hizo mbili alikwepo
zinahusu nini ndugu..maana hadi sasa sijaona kama breaking bad
Breaking bad mie sijaona,its mission and conpiracy movie au iko vip?
the boardwalk empire ni series ambayo ipo based on a true story ya jamaa anaitwa enoch thompson enzi za prohibition huko united states
phohibition maana yake ni kipindi ambacho pombe ilikua hairuhusiwi kuuzwa ilikua ni kitu illegal kama ilivyo madawa mengine ya kulevya
sasa hiyophohibition ikaleta balaa kwani ilichangia kuongezeka kwa wahalifu wengi waliokua wanauza pombe kwa bei juu kwa kua ilikua bidhaa adimu nina uhakika 100% kama uliipenda breaking bad the boardwalk empire lazima uipende bro, mi mwenyewe hua nairudia rudia kuiangalia maana ni kali balaaa
hivi saivi hakuna gangster series on air kama boardwalk empire, breaking bad, gang related, mob city and such?
hii naona hujaielewa vizuri mkuu, au umesahau kidogo central character wa breaking bad alikua ni walter white, huyu jamaa wa kimexico gustavo fring hakumtegeshea walter white sumu ya kinywaji, aliwategeshea wale ma associate wake wa zamani wa kimexico alafu ndio akajitapisha kama ulivyosema, walter alikuja kumuua gustavo fring kwa kutumia bomu ambalo lilimuharibu upande mmoja wa mwili kama umekumbukakwenye breaking bad alikwepo labda hukumaliza season zote,alikuwa drugs lord wa ki-mexico,akaona anaharibiwa biashara akaamua kushirikiana na walter ,akamkutanisha walter na wataalam wake,baadaye akamaua kumwua walter pale alipomwalika,akajifanya amemletea zawadi ambayo ni kinywaji,ili kuhakikisha kinywaji ni salama akafungua hapo hapo halafu akaanza kunywa halafu akampa walter anywe,walter alipokunywa tu jamaa akaenda toilet kujitapisha ili atapike sumu asife