Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hii style kinoma,naisubiria blindspot episode 11,wiki ya pili kimya!

Inakera sana.. Nakumbuka Season one ya THE LAST MAN ON EARTH nimeangalia kwa sheedah kama hiyoo yako... Season two sijaangalia nasubiri iishe yote ndo nianze kuangalia....
 

Attachments

  • 1449608148255.jpg
    1449608148255.jpg
    7.6 KB · Views: 186
Wanaokera ni blacklist. Wanaweza kaa mwezi bila episode. Halafu huwa nashangaa unakuta blacklist imesimama pamoja na VD na Originals at the same time na arrow pia. Sijui producer mmoja au?
 
Wakuu samahani kidogo, nilikua natumia mtandao wa Tigo kupakua hizi series walikua na offer ya sh. 1500 gb 15 saa 5 usiku - saa 11 aLfajiri ,sa hivi wamezipunguza mpk gb 5,Vp nyie mnatumia mtandao gani kupakua series
 
Wakuu samahani kidogo, nilikua natumia mtandao wa Tigo kupakua hizi series walikua na offer ya sh. 1500 gb 15 saa 5 usiku - saa 11 aLfajiri ,sa hivi wamezipunguza mpk gb 5,Vp nyie mnatumia mtandao gani kupakua series

Mbona GB 5 unashusha season nzima
 
Blindspot imeshakamilika season 1 tayari ikiwa na episode 10
 
Blindspot imeshakamilika season 1 tayari ikiwa na episode 10

Season 1 haijaisha bado, sasa hivi ipo mapumziko ni utaratibu wa series nyingi kupumzika mwishoni mwa mwaka...

Episode 11 itaendelea next year February mwishoni...
 
Wakuu samahani kidogo, nilikua natumia mtandao wa Tigo kupakua hizi series walikua na offer ya sh. 1500 gb 15 saa 5 usiku - saa 11 aLfajiri ,sa hivi wamezipunguza mpk gb 5,Vp nyie mnatumia mtandao gani kupakua series

Tumia airtel gb 10 sita ad 12 asee kwa 600 tu au zantel unlimited data kwa elfu moja mia tano usiku mmoja
 
Tumia airtel gb 10 sita ad 12 asee kwa 600 tu au zantel unlimited data kwa elfu moja mia tano usiku mmoja

Kwangu shida ni kwamba nimeonja radha ya 4G.. Nikipata GB 5 + 4G swafi... Ila sina budi... Maana tigo ndo hivoo hametuharibia yaani... Better Smart... Wana vifurushi vzr tuu
 
Kwangu shida ni kwamba nimeonja radha ya 4G.. Nikipata GB 5 + 4G swafi... Ila sina budi... Maana tigo ndo hivoo hametuharibia yaani... Better Smart... Wana vifurushi vzr tuu

Yeah 4g ni kwere babu yan ndan ya masaa mawili nikaua gb 8 fasta aseee
 
Best way smart ukiwapatia weekends... Safi sanaa... Unaandaa list ya movies zako na tv shows.. Ikifika weekends unafanya yako na 4G...

Mwaka huu noma mpka hap nina lain nne nahs nitaongeza nyingn asee
 
The flash Ni miongoni Mwa series za kisasa ambazo kiukweli Mimi binafsi hazinigusi, na kwa masikitiko makubwa hata ARROW nayo inaelekea huko huko kwa sasa.

hii series imejaa imagination na scientific fiction ambazo kwa upande wangu ilinishinda kuifuatilia na niliona kabisa naibiwa 'chenji' yangu tu.

nakushauri kabla ya kuanza kuitizama, isome plot yake kwanza

Sikutaka nikujibu lkn imebidi. wewe utakuwa mpenzi wa movie za aina flan flan ..

lkn flash ina test yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom