Series (Special thread)

Series (Special thread)

Lord of the rings sijaona kitu kabisa, character wake hawana mvuto lakini pia kuna too much animation kwenye hii series. Sishauri mtu kuipakua
Naunga mkono hoja.

Series haina chochote mule ndani, inalazimishwa tu kwa kupitia umaarufu wa zile muvi za lord of the rings watu wapige pesa.
Ukiachana na cinematography, hakuna cha maana humu.

Pure definition of fantasy crap ndio hii sasa.
 
Naunga mkono hoja.

Series haina chochote mule ndani, inalazimishwa tu kwa kupitia umaarufu wa zile muvi za lord of the rings watu wapige pesa.
Ukiachana na cinematography, hakuna cha maana humu.

Pure definition of fantasy crap ndio hii sasa.
Mkuu relax it's just a movie..
 
Bado tu aisee ila kesho saa 5 asubuhi itakuwepo season 3 EP 1 Kila jumapili tutakuwa tunapata Ep Moja Moja mpaka kufika 10 Cc rip faza_nelly
From Season 1 Complete WEB-HD 480p, 720p, & 1080p - TodayTvSeries.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom