Series (Special thread)

Series (Special thread)

Huo mzigo ni balaa...ila kama hujasoma vitabu vyake, season 1 inaeza kuwa boring kiasi fulani.

Ila ukijikaza ukaimaliza ukaanza season 2, hapo ndo utaanza kuona mikiki yenyewe sasa.
Yani mikiki nikaisubiri season two? Mi series za hivyo hapana asee. Season 1 inapaswa kukupa hamu ya kutafuta season 2 na kuendelea
 
Ugreatness unaanzia hapo kwenye kuirudia mara mbili. Unadhani series kama FROM unaweza kuirudia mara mbili?
Zile reviews zinafanya mtu unajishtukia mwenyewe 😂.Hapo niliirudia baada ya kuona ni ya kawaida tofauti na inavyosifiwa nikahisi labda mimi kuna details ndogondogo nilizikosa nikaamua niirudie kwa umakini, lakini wapii.

Ni nzuri ndio, acting, writing, plot, pacing, lakini naona iko overrated sanaa.
 
Yani mikiki nikaisubiri season two? Mi series za hivyo hapana asee. Season 1 inapaswa kukupa hamu ya kutafuta season 2 na kuendelea
Shida ya GoT season 1 ni kwamba, ina introduce characters wengi ambao wapo maeneo tofauti tofauti kwahiyo inakua ngumu kufatilia kwa umakini kinachoendelea unless uwe umesoma vitabu na pia story inakuwa kama iko disconnected na ndicho hicho wengi kinawatoa kwenye reli.

Season 1 imebase zaidi kwenye world building kwasababu ile fictional world ni pana sana ndio sababu wengi wanakwamia season ya kwanza tu.
 
😂😂😂 We jamaa hata muvi za supehero kwenye jukwaa la MCU waga unawapa za uso kule 😂
Sasa wewe ktk mazingira ya kawaida unaweza kuacha kuangalia james bond movies upoteze muda kuangalia watu wanao paa? Mara wanatoka myoto kwenye viganja vya mikono n.k

Muvie za hivyo nnazo zikubali ni DEAD POOL tu. Na sasa wamatuletea nyingine inaitwa DEADPOLL&WOLVERINE humo kuna mkong'oto licha ya kwamba wameongezea na manjonjo ya computer ila mkono wa humo unaeleweka
 
Ni ile ya madaktari na tafiti zao? Kama ni hiyo niliifuatilia sana miaka ya 20 kumi na kitu nikiwa kozi fulani colleji
Yeah Mimi Kila ikifikaga mwezi wa 9 Kila mwaka nairudiaga hiii kaka 😎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom