Series (Special thread)

Series (Special thread)

20240901_122438.jpg

Itafute mtu wangu 😎
 
😂😂 Haya mambo bana, unaangalia halafu huoni maajabu ila ukija humu ukute kina vicenzo jr na Mr Q wanaipa promo, utoke hapo uende kusoma reviews IMDb, Metacritic, n.k, daah unaeza unaweza jiuliza labda me ndo nna ugonjwa wa akili 😂😂😂
Kule kaka Kuna harakati za wahuni wa mexico evil kama Salamanca gus fring best villain of all time Kuna kina don eladio series kalii sana hiyo 😎🔥🔥
 
Wakuu nimeshacheki series nyingi ambazo zinasifika apa duniani lakini sijacheki Game of throne !
Vp nikijilipua kuicheki hii series nitapata burudani stahiki??
Huo mzigo ni balaa...ila kama hujasoma vitabu vyake, season 1 inaeza kuwa boring kiasi fulani.

Ila ukijikaza ukaimaliza ukaanza season 2, hapo ndo utaanza kuona mikiki yenyewe sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom