Innocizy
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,736
- 1,056
Ndio nilimfatilia kabla sijaanza kuiangali maana nilishangaa muhindi kafata nini Hollywood tena.
But ameishi US mda mrefu kidogo ndio maana hata lafudhi yake huwezi kugundua...nmempenda bure hahahaha
Ingawa kwenye acting za action bado hajafiti vizuri kihollywood hollywood maana ni mzito sana hata kwenye mapigano,kukimbia na kuruka viunzi, naona kama anampa kazi kubwa sana director wake.
Huyu mbona Kama priyanka chopra😐😐😐