Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kwenye PI nimemkubali,kwenye lost alicheza kipengele alikuwa mbaya na mjanja mpaka anaboa

Sijui kwa nini directors kwenye most series or movie huwa wanamuua huyu binti michele rodriguez
 

Attachments

  • 1445037785279.jpg
    1445037785279.jpg
    5.8 KB · Views: 195
Sijui kwa nini directors kwenye most series or movie huwa wanamuua huyu binti michele rodriguez

Hii ni moja ya sifa yake inayompa umaarufu sana huko Hollywood....
Nafikiri madirector wengi wanaposoma storyline ya movie waliyopewa kudirect na wakakuta character ya mrembo anayekufa hapo ndipo wanapomkumbuka huyu binti.

Pia ikumbukwe unapofanya casting ya character lazima uangalie na sifa ya mtu husika kwa undani zaidi coz acting is an Art
 
sure...My guess mpaka sasa ni
-simon,liam or shelby is a traitor
-simon sio gay
-Liam aliwahi kuwa na mahusiano na mama yake alex(sita)..na nyuma yao kuna siri kubwa

Liam nafikiri ndo traitor anatumiwa na walio m train mtoto wa Miranda kuwa terorrist huku, Miranda ana watumia Minah na riana(pacha) pia Alex ili kuwabaini terorrist crew na kurevange, on otherside side nafikiri Alex ni mtoto wa Liam na anamtumia booth kumprotect pia kulinda siri zake na Sita so anaamini kuwa Alex akijua the real truth atamexpose pia nakubaliana nawe pia Simon is a treasonist, or conspirator
 
Liam nafikiri ndo traitor anatumiwa na walio m train mtoto wa Miranda kuwa terorrist huku, Miranda ana watumia Minah na riana(pacha) pia Alex ili kuwabaini terorrist crew na kurevange, on otherside side nafikiri Alex ni mtoto wa Liam na anamtumia booth kumprotect pia kulinda siri zake na Sita so anaamini kuwa Alex akijua the real truth atamexpose pia nakubaliana nawe pia Simon is a treasonist, or conspirator

hivi mtt wa miranda yupo jail kwa kosa gani?

Nilikuwa najiuliza why Miranda anamsaidia Alex..Uenda ikawa hivyo ulivyosema

Kuna kauli Miranda aliitoa kwa Liam inaonyesha Liam alikuwa anamtamani Alex kimapenzi..Sidhani kama anaweza kuwa mtt wake..

Booth simuelewi..Inaonekana anamsaidia Alex..Lakini kwann alisema Alex ndo aliyemshoot,kitu kilichopelea jina la Alex kuwa released kama terrorist
 
hivi mtt wa miranda yupo jail kwa kosa gani?

Nilikuwa najiuliza why Miranda anamsaidia Alex..Uenda ikawa hivyo ulivyosema

Kuna kauli Miranda aliitoa kwa Liam inaonyesha Liam alikuwa anamtamani Alex kimapenzi..Sidhani kama anaweza kuwa mtt wake..

Booth simuelewi..Inaonekana anamsaidia Alex..Lakini kwann alisema Alex ndo aliyemshoot,kitu kilichopelea jina la Alex kuwa released kama terrorist

Liam angekuwa anamtaka kimapenzi asinge mtumia booth huku anajua kisha sex nae

Miranda alimwambia Liam vile kwa vile walishawahi kuwa wapenzi kabla ya Liam kuwa demoted from top official wa FBI to a trainer so anahisi Liam yuko after Alex kimapenzi

Kama uliangalia part ya Miranda ana mvisit Riana(pacha) baada ya kudrop out of academy with out information alimsimulia rudia that part kuna sectret reveled coz alikuwa emotional

Booth kesha gundua Liam yuko after something bad kwa Alex kumbuka order alizokuwa anapewa na kwa sababu yuko in love kwa Alex ameamua kumsaidia from inside hence lazima a pretend!
 
Liam angekuwa anamtaka kimapenzi asinge mtumia booth huku anajua kisha sex nae

Miranda alimwambia Liam vile kwa vile walishawahi kuwa wapenzi kabla ya Liam kuwa demoted from top official wa FBI to a trainer so anahisi Liam yuko after Alex kimapenzi

Kama uliangalia part ya Miranda ana mvisit Riana(pacha) baada ya kudrop out of academy with out information alimsimulia rudia that part kuna sectret reveled coz alikuwa emotional

Booth kesha gundua Liam yuko after something bad kwa Alex kumbuka order alizokuwa anapewa na kwa sababu yuko in love kwa Alex ameamua kumsaidia from inside hence lazima a pretend!

Nmecheki mpaka ep 2... ni nzuri kuiangalia coz sorry yake ni ya kupendeza
 
Sure Alex parish alikuwa miss India mwaka 2000 in real life pia mwanamziki moja nyimbo hii hapa :- YouTube video! http://www.youtube.com/watch?v=sPhhZg9v9NU

Ndio nilimfatilia kabla sijaanza kuiangali maana nilishangaa muhindi kafata nini Hollywood tena.

But ameishi US mda mrefu kidogo ndio maana hata lafudhi yake huwezi kugundua...nmempenda bure hahahaha

Ingawa kwenye acting za action bado hajafiti vizuri kihollywood hollywood maana ni mzito sana hata kwenye mapigano,kukimbia na kuruka viunzi, naona kama anampa kazi kubwa sana director wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom