Series (Special thread)

Series (Special thread)

Niliangalia episode 1 hata sikuimaliza yote ikanishinda

Pale ndio nikajua kweli duniani watu tumetofatiana upeo

Sio hiyo tu kuna moja inaitwa Band of Brothers nilikuta IMBD iko rated nikajichanganya.

Nyingine nimeisahau jina ila inamhusu jamaa mmoja hivi mzembe mzembe ana bastola kiunoni halafu anasumbuliwa na wavuta ganja wenye mapikipiki. Nikai dump.

Nilipokuja humu nikashangaa kuona watu wanaisifia kuwa ni bonge moja la series nikabaki nacheka tu
Hata mimi binafsi sijawahi kuielewa hiyo game of thrones sijui watu wanaipendea nini
 
Nimeona Wengi wanatumia Torrent but kuna Movie nyingine kupata Torrent files Huwa ni kazi sana..
Ila kama unataka Kupata Movie yoyote try This Movie Server ina Large Capacity nimeona mpaka za Kibongo siku hizi wanaweka..

Movie Box
Screenshot_20240107_152525_One UI Home.jpg


Hii kitu Ni konyo Mtanishukuru Baadae..
Hakuna Movie wala Series Utakosa humu

Screenshot_20240107_152300_MovieBox.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom