Series (Special thread)

Series (Special thread)

Episodes nyingine zinatoka lini
20231211_213956.jpg

Ratiba hii hapa kaka
 
Nimeona kuna taarifa imetolewa kuwa mwaka 2025 asilimia 50 ya watu watakuwa na matatizo ya macho

Kati ya hao 50% naliona kundi kubwa la waliopata matatizo ya macho kwa kuangalia low quality
Nina swali kidogo.
Wanawezaje kutengeneza faida out of hii series inaitwa Berlin ikiwa episodes zote 8 ni kama zimetolewa mara moja?

NB. nimeimaliza episode ya nane na nimekubaliana kwamba series hiyo ni nzuri and most important thing to note ni kwamba love can ruin every thing. And sometimes if not all times, love cant be bought.
 
Nina swali kidogo.
Wanawezaje kutengeneza faida out of hii series inaitwa Berlin ikiwa episodes zote 8 ni kama zimetolewa mara moja?

NB. nimeimaliza episode ya nane na nimekubaliana kwamba series hiyo ni nzuri and most important thing to note ni kwamba love can ruin every thing. And sometimes if not all times, love cant be bought.
Ni nzuri sana mie nimeimaliza juzi
 
Wanapataje faida hapo?
Unavyoanza kuangalia series si kuna Netflix ina display mwanzoni kabisa mwa picha?

Sasa wale mpaka unawaona pale maana yake kwanza wamelipia haki miliki zote za hiyo Tv show

Yani gharama zote ikiwa pamoja na budget yao waliyotumia kutengeneza hiyo Series na bado wanaendelea kulipwa kupitia streaming

Kupitia matangazo ambapo thamani ya viewer 1 ni sawa na Dollar 1, sasa fikiria show ambayo imeangalia na watu milioni 10

Sources za kupata mkwanja zipo nyingi Mkuu hapo ni kwa uchache tu
 
Watu wanavyo stream ndani ya Netflix kulee nahisi ndo faida Yao ipoo na wanapata sanaa faidaa maana Toka itoke ndo inashika trending series ndani ya Netflix Kila watazamaji wanapozidi na faida inaongezeka
Ndio imeishia happ ep8 mpaka season two? Au mwendelezo wake upoje
 
Unavyoanza kuangalia series si kuna Netflix ina display mwanzoni kabisa mwa picha?

Sasa wale mpaka unawaona pale maana yake kwanza wamelipia haki miliki zote za hiyo Tv show

Yani gharama zote ikiwa pamoja na budget yao waliyotumia kutengeneza hiyo Series na bado wanaendelea kulipwa kupitia streaming

Kupitia matangazo ambapo thamani ya viewer 1 ni sawa na Dollar 1, sasa fikiria show ambayo imeangalia na watu milioni 10

Sources za kupata mkwanja zipo nyingi Mkuu hapo ni kwa uchache tu
Asante kwa majibu. Nilidhan hapatakuwa na faida maana imetoka tu link zikawekwa hadi hapa jf
 
Asante kwa majibu. Nilidhan hapatakuwa na faida maana imetoka tu link zikawekwa hadi hapa jf
Kwa mfano saizi baada ya kutoa season 1 ambayo imepokelewa vizuri na audiences basi jambo hilo litawavutia sponsors kibao kufanya biashara na watengenezaji wa Show.

Game of thrones ilianza kwa budget ya dollar 6M ilipotoka na kukubalika na wadau budget ika rise up to 15M kwa episode

Berlin mpaka saizi ina rate ya 7.2 kule IMDB na ndio kwanza inafunga wiki tangu iachiwe.
 
Kwa mfano saizi baada ya kutoa season 1 ambayo imepokelewa vizuri na audiences basi jambo hilo litawavutia sponsors kibao kufanya biashara na watengenezaji wa Show.

Game of thrones ilianza kwa budget ya dollar 6M ilipotoka na kukubalika na wadau budget ika rise up to 15M kwa episode

Berlin mpaka saizi ina rate ya 7.2 kule IMDB na ndio kwanza inafunga wiki tangu iachiwe.
Tuzungumzie hiyo game of throne sasa. Wewe umeicheki? Ina nini hasa mpaka watu wanaisifia? Maana kila ninapojaribu kuianza naishia episode kama ya tatu tu naitupilia mbali
 
Tuzungumzie hiyo game of throne sasa. Wewe umeicheki? Ina nini hasa mpaka watu wanaisifia? Maana kila ninapojaribu kuianza naishia episode kama ya tatu tu naitupilia mbali
Niliangalia episode 1 hata sikuimaliza yote ikanishinda

Pale ndio nikajua kweli duniani watu tumetofatiana upeo

Sio hiyo tu kuna moja inaitwa Band of Brothers nilikuta IMBD iko rated nikajichanganya.

Nyingine nimeisahau jina ila inamhusu jamaa mmoja hivi mzembe mzembe ana bastola kiunoni halafu anasumbuliwa na wavuta ganja wenye mapikipiki. Nikai dump.

Nilipokuja humu nikashangaa kuona watu wanaisifia kuwa ni bonge moja la series nikabaki nacheka tu
 
Niliangalia episode 1 hata sikuimaliza yote ikanishinda

Pale ndio nikajua kweli duniani watu tumetofatiana upeo

Sio hiyo tu kuna moja inaitwa Band of Brothers nilikuta IMBD iko rated nikajichanganya.

Nyingine nimeisahau jina ila inamhusu jamaa mmoja hivi mzembe mzembe ana bastola kiunoni halafu anasumbuliwa na wavuta ganja wenye mapikipiki. Nikai dump.

Nilipokuja humu nikashangaa kuona watu wanaisifia kuwa ni bonge moja la series nikabaki nacheka tu
Tuliza kichwa anza Tena kuangalia band of brothers ep ya kwanza inakuonesha jinsi wanavyofanya mazoezi ep ya 2 ndo wanaenda vitani ni balaa sana watu wanapigana risasi hadi vichwa vinapasuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom