Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,027
- 95,535
Wana season nyingi, na mi nawakubali wale majamaa kina stone bridgeKaka hii sio powa kuna kipande muhuni aliingizwa kisu makalioni
Wana season nyingi, na mi nawakubali wale majamaa kina stone bridgeKaka hii sio powa kuna kipande muhuni aliingizwa kisu makalioni
Mpuuzieni jamaa mkorofi sana anatafuta kikiNimesha mchana hapo juu, ana Tabia za kike kike tu.
👉 Attention seeker huyo🤒
Wanapiga kazi sanaWana season nyingi, na mi nawakubali wale majamaa kina stone bridge
🙏💪Mpuuzieni jamaa mkorofi sana anatafuta kiki
Mwendelezo wake unatoka lini? Hiyo series nilipo ianza sikuacha kuangalia kila nilipopata muda hadi kuimaliza.
Mwakani tunaipata season 4 kakaMwendelezo wake unatoka lini? Hiyo series nilipo ianza sikuacha kuangalia kila nilipopata muda hadi kuimaliza.
Habari njema hiiMwakani tunaipata season 4 kaka
It depends on which side you're preferring.We Jamaa toka jukwaa la sport, una pressure ya kudiss watu🤔🤔🤒
We dogo mi nishakuambia sana, huna akili..Unanisema si ndio una bonga kama mtoto wa kike acha ushamba na ulimbukeni mdogo wangu nilikwambia toka juzi humu hapakifai nenda kaangalie zilizo tafsiriwa na mapimbi wenzio
Neno vampire lilinikimbiza sikutamani kuifuatilia. Ilinikuta masomoni enzi series zimeshamiri watu wanakaa laibrari na laptops zao kuangaliaMr Q, Charles kilian, Dream Queen, Franky Samuel, Hziyech22
👉Hiki chuma mna kukumbuka??
View attachment 2769247




Wew una nyege siwezi kubishana na wew tena ntapoteza mda wanguWe dogo mi nishakuambia sana, huna akili..
Kutojielewa kwako ndo kunakufanya uone kila jambo wewe uko sawa kumbe mavi matupu kichwani.
Tupo kwenye hili jukwaa kwa muda mrefu na tumetulia tu tunasoma comments mara moja moja tunachangia.. Wakina Baharia mweuc wanaingia humu tunawaona lakini hakuna mtu mwenye ego tena za kipumbavu kama wewe.
Tuongee fact tu na wengine humu waone.
Mtu akisema hajaipenda series uliyo recommend inapelekea nini wewe kumvunjia heshima?
Kwani lazima series uliyoipenda wewe mwengine aikubali, wewe boya nini!
Amka kitandani kwa mama yako hapo uendelee kupost ujinga wako.. Toto pumbaav kabisa!😂
Kitambo sana hii kalii sanaMr Q, Charles kilian, Dream Queen, Franky Samuel, Hziyech22
👉Hiki chuma mna kukumbuka??
View attachment 2769247
Kalii sana hizi
Ilikuwa fire hivi unajua app au website nzuri ya kucheki movie ninataka niangalie series ya Tehran season 1 maana nkiri.com haipoMr Q, Charles kilian, Dream Queen, Franky Samuel, Hziyech22
👉Hiki chuma mna kukumbuka??
View attachment 2769247
Naona imekuingia.. nitakua napigilia misumari taratibu mpaka akili ikukae sawa. 😁Wew una nyege siwezi kubishana na wew tena ntapoteza mda wangu
Ilikuwa fire hivi unajua app au website nzuri ya kucheki movie ninataka niangalie series ya Tehran season 1 maana nkiri.com haipo