Series (Special thread)

Series (Special thread)

Nasemea special ops lioness kuna yule dada na yule rafiki yake ambae baba yake ni gaidi walikuwa wanasagana sana
Hii ndo naongelea mimi inaitwa SPY OPS
Screenshot_20230922_201218_OnStream.jpg
 
Nilivyo sio mzuri wa kuelezea sasa
Yaan ni Mazombie lakini Mazombie yao sio Virus ni Fungas, kwa hiyo mji wote unapata hilo janga, waliopona waliwekwa sehemu ili wasiambukizwe,
Sasa kuna binti anaitwa Ellie yeye damu yake inasadikika ni cure wa hiyo fungas maana aling'atwa hakubadilika kwa hiyo jamaa anaitwa Joel anapewa kazi ya kumpeleka kwenye military hospital ili binti achukuliwe sample, hadi kufika hapo sio route ndogo ni purukushani nyingi wanazipitia hatimae wanafika na kugundua kumbe binti anatakiwa afe, yule mzee anakataa kukubali hiyo kitu anamtorosha na kuua wanajeshi wote..... Tunasubiri ssn 2 tujue hatma yao.
Series ipi hiu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom