Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,241
- 79,800
Ndio kaka hiyo kalii sana nayoKaka ushaicheki night agent.
Ndio kaka hiyo kalii sana nayoKaka ushaicheki night agent.
Upo vizury kaka, sasa vip tehran ilikua na muendelezo maana mie naangaliage hizi series nikiwa na mood.Ndio kaka hiyo kalii sana nayo
Hiyo money heist inaendelea au isijekua ni ule ujinga wa money heist ya kikorea wa copy and pest ndio inaendelea, hivi huwa najiuliza hapa netflix waliwaza niny!Berlin anakuja na Money Heist mwezi wa 12 tarehe 29
Nimecheki trailer iko poa haiwezi kuwa miyeyusho kama ile ya Korea
Nahisi watatoa ya season 3 mwakani labdaUpo vizury kaka, sasa vip tehran ilikua na muendelezo maana mie naangaliage hizi series nikiwa na mood.
Ile mbaya sana wakorea walifeli sanaHiyo money heist inaendelea au isijekua ni ule ujinga wa money heist ya kikorea wa copy and pest ndio inaendelea, hivi huwa najiuliza hapa netflix waliwaza niny!
Duh kumbe season 2 tayari, ngoja nayo niisakue.Nahisi watatoa ya season 3 mwakani labda
Ipo kaka nzuri sana ileDuh kumbe season 2 tayari, ngoja nayo niisakue.
Sio Netflix ni Korea wenyewe walipenda idea wakauziwa, wakazingua.Hiyo money heist inaendelea au isijekua ni ule ujinga wa money heist ya kikorea wa copy and pest ndio inaendelea, hivi huwa najiuliza hapa netflix waliwaza niny!
Ila inaonekana ni spin-offSio Netflix ni Korea wenyewe walipenda idea wakauziwa, wakazingua.
Hii ni ya namna nyingine ila script ni ile ile kuhusu wizi.
Na uziri Berlin ndio character yule yule kwenye Money Heist ya kwanza so haiwezi kuzingua.
Ila itakuwa kaliIla inaonekana ni spin-off
Saana yaaniIla itakuwa kali
Nzuri kiasi. Nimecheki season 1 tuGuys kuna hii series inaitwa Foundation ina 2 seasons.... ni nzuri??
Nimeona ipo kama SILO au THE 100
View attachment 2758332
Itafute na season 2 kalii sana ni bonge moja la thrillerNzuri kiasi. Nimecheki season 1 tu
Into the bad land,jale ka dada ka tilda na mwenzake,vilikuwa vinanyonyana,ushenzi kabisa,see yule mshenzi mama marikia,anajichua na kunyonywa k,harafu vile vitoto vya kike mwishoni kabisa vinafunga ndoa,yaani mwanamke anamuoa mwanamke, rubbish kabisa,season nzuri wanaziwekea ujingaKwenye Prison Break scene za ushoga hazikua na maudhi kiivo. Mashoga walikuwepo just kufulfull certain mission as walikua jela, ila series za cku hzi ushoga wanalalana live...uchafu mtupu.
Kwa PB hakuna walipolalana, T Bag mhuni huni alimtumia yule shoga kupata chupi ya kumtrick askari and it was over...
Hizi nyingine wanaume wanakamuliwa haswa na inaoneshwa kama ni tabia njema na ya kuigwa.
Series ni projects zenye malengo mengi ya kimagharibi.
Shida yetu kwa jamii yetu tuna access rahisi na series/movies za kimagharibi, naamini tukipata access na za Turkey, Russia, Iran na kwingineko, huu upuuzi hatutauona.
Binafsi nikiona scene inaelekea kwenye huo ushetani, nasogeza mbele naendelea kula chuma, siachi movie! Ikiwa too much natupa huko napakua nyingine tu!
Wale ni lesbian mie nikiona nacheki series ina mambo hayo napeleka mbele tu sema wanazingua sana skuizInto the bad land,jale ka dada ka tilda na mwenzake,vilikuwa vinanyonyana,ushenzi kabisa,see yule mshenzi mama marikia,anajichua na kunyonywa k,harafu vile vitoto vya kike mwishoni kabisa vinafunga ndoa,yaani mwanamke anamuoa mwanamke, rubbish kabisa,season nzuri wanaziwekea ujinga
Special OPS hii ni documental inayongelea mission ngumu ambazo zimewai kufanywa kwenye hii dunia kuna hadi mission ya marekani kumpindua rais baada ya kuona hana manufaa kwaoKaka ebu nishushie hapa majina ya series kali sana zinazohusu upelelezi wa mashirika ya kijasusi, huwa napenda sana hizi issues.
Hiyo ni adoption ni nzuri sana kwa biashara ni sawasawa na msanii nyimbo yake ikiwa hit anafanya remix ili kuongeza ukubwa na kupata maokoto zaid , ile money heist yakwanza kule Korea waliikaa isioneshwe sababu inasapoti ushogaHiyo money heist inaendelea au isijekua ni ule ujinga wa money heist ya kikorea wa copy and pest ndio inaendelea, hivi huwa najiuliza hapa netflix waliwaza niny!
Haina muendelezo tena kwanza ya pili yenyew haikufanya vizuri sokoni watu waliikosoa sanaNahisi watatoa ya season 3 mwakani labda
Shukrani sana kaka.Special OPS hii ni documental inayongelea mission ngumu ambazo zimewai kufanywa kwenye hii dunia kuna hadi mission ya marekani kumpindua rais baada ya kuona hana manufaa kwao