Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
Nyambafu.toa ijinga
Watu wanasema ana dharau,...hawasemi dharau gani hasa ....huu ni mwendelezo wa akili za kipoyoyo tulizozioea kuziona kwetu uswahilini....i.e mtu akifanikiwa unamuundia zengwee halafu unashindwa kulitetea.
Anyway_hata mm namkubali Kiba kuliko domo ila kwa hili mimi siko upsnde huo
Nashangazwa sana na wanaosema Diamond anapiga tour eti.. Honestly Mimi simchukii diamond na nafurahia mafanikio yake nje ya maisha yake ya kipumbavu.
Sasa, naomba nijuzwe Diamond kapiga tour wapi?? Kwa Africa amefanya show wapi ukiacha hapa nyumbani na ile show moja ya
Kenya?? Alishawahi fanya show Uganda?? Alishawai Fanya show South Africa (siongelei zile za big brother).. Alishawai fanya show yeyote west Africa?? Ukweli ni kwamba tunajidanganya tu kuwa diamond yupo international lakini si kweli. Yule anatumiwa tu na media mbalimbali ili tu wapate soko hapa East Africa, hata akina Davido na Mafikizolo wanamtumia tu ili washike soko letu.. Hivi huko Nigeria, South, na kwingine hakuna open show kama fiesta?? Mbona haitwi kuperform huko kama sisi tunavyowaita international artists??
So Jana mwanafa,weusi na kiba ndo walifunika,si ndio!
Nashangazwa sana na wanaosema Diamond anapiga tour eti.. Honestly Mimi simchukii diamond na nafurahia mafanikio yake nje ya maisha yake ya kipumbavu.
Sasa, naomba nijuzwe Diamond kapiga tour wapi?? Kwa Africa amefanya show wapi ukiacha hapa nyumbani na ile show moja ya
Kenya?? Alishawahi fanya show Uganda?? Alishawai Fanya show South Africa (siongelei zile za big brother).. Alishawai fanya show yeyote west Africa?? Ukweli ni kwamba tunajidanganya tu kuwa diamond yupo international lakini si kweli. Yule anatumiwa tu na media mbalimbali ili tu wapate soko hapa East Africa, hata akina Davido na Mafikizolo wanamtumia tu ili washike soko letu.. Hivi huko Nigeria, South, na kwingine hakuna open show kama fiesta?? Mbona haitwi kuperform huko kama sisi tunavyowaita international artists??
Ndugu sina Uteam wanamuziki wote wa Tanzania nawakubali , Kiba namkubali kuliko unavyofikiria ila siwezi kukaa kimya eti nitaonekana Team , Team maana yake nini , am too old for this nonsense !
hv unajua process mtu anazopitia mpk kupata mamlaka ya kuvaa kombat? Unaijua depo wewe?
naona naww una kawivu flan tena cha kike, sasa kama kiba kashangiliwa ww inakuuma nn? na kama diamond kazomewa unapata taab ta nn kumsafisha?? M nkajua ww ndo umezomewa ndio maana inakuuma, upumbavu wa diamond ndo unamponza na kujiona yy ndo anajua. Amesahau kua alikua underground na watanzania ndo walimpa support akafika alipo ila yy kaanza kudharau wenzake, malipo n hapa hapa
poa dada kila la heri ila kauli zake zinamponza
Wana wivu hela ya kuingia kule umewalipia wewe mpaka uwachagulie mtu wa kumshangilia na yupi wa kumzomea kama vipi ungeenda we kumshangilia basi
mpaka sasa mr blu kafunika kwa shangwe....bado ally kiba then Dangote,,,kesho mtakimbia humu
kumbe hiyo ndo moja ya sababu, dah!kosa la diamond ni kuwa na dharau kwa wasanii wenzake,kubwa zaidi ni kusema kama ally kiba anahitaji msaada wake yupo tayari kumsaidia,wakati for the time nyimbo za kiba zipo juu zaidi ya za diamond,na kiba hana makuu,kakaa kimya,anaacha kazi ziongee,nlikua shabiki wa diamond ila sasa nipo kwa kiba.dogo anaweza,hana makuu wala skendo.ni kazi tuu.diamond anamsema vibaya sana huyu bwana mdogo mwenye kipaji cha hali ya juu.huo ndo mshahara wake,asipojirekebisha atazomewa saaaanaaa
Wiz Khalifa kama kuna watu wa heshima usisikilize miziki yake. Ila bana, kama ni mwanamziki wa kibongo ndo ana makosa kama hayo Marekani hawampi visa. Sisi tunapokea tu...Ha haaa!.
Uk na ujerumani ilikuwa ni mapromota wanamzingua, ila mwisho wa siku yeye kama msanii ndo alionekana mbaya. Ila kiukweli ni mapromota ndo waliharibu, washabiki hawaoni hilo.Kama anaubavu aanze life lake, clouds wanazingua
BTW hivi kule uingereza na ujerumani ni clouds pia???