Lio 002
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 436
- 68
Kwani vipi jamani mbona sielewi???davido akipafom damu itamwagika kwa nini???
Lazima atajikata so damu lazma ihusike hapo
Kwani vipi jamani mbona sielewi???davido akipafom damu itamwagika kwa nini???
Ally kiba ndo aende kulia maana ataishia kushangiliwa na wahuni Fiesta..mwenzake baada ya hapa ana tour za kutosha
Binamu ulienda kubanana??
Pia nimeona Kiba kapigiwa advert ya kufa mtu, kuna clip wameonyesha clouds ikionyesha Kiba anavalishwa kufia ya ufalme na maandishi The returning of the King.
Unafikiri kila mtu atamsifia Diamond? Kama amezomewa basi hiyo ni challenge na ajiulize kwanini kazomewa sio kuanza kulalamika tu,mbona kwenye mpira wachezaji wanazomewa sana tu.Si kwa sababu kafanikiwa ndio maana watu wanamzomea lah ila kwa sababu kuna vitu afanyavyo vinawakera mashabiki.
Mkuu achana na huyu mtu atakuwa na matatizo ya uelewa!
Toka jana namuuliza yeye ni ke au me hajanijibu!
Hana lolote huyu kanga moko laki si pesa
una nauli ya kurudi Moro lakin
Kumbe humu jf kuna vibosile eeh!!! Sasa si wawasaidie wale wa jukwaa la ajira kule tujue moja kuliko kujisifia kisoro soro
hahaha wapo ila hawajitangazi ukiona fursa unakamata
namheshimu sana diamond kwa kutupeleka next level
namdharau pia kwa kauli zake na anapenda sana magazeti misifa haya
waliompandisha ndio wanaomshusha
Kwahiyo Diamond kawazidi kipato kina Bakhressa, Mo dewji, Rostam, Mufuruki, Mzee Machache baba wawili na Karamagi?
Kauli wewe ulishawahi kumsikia au unasoma GP ?? anyway wewe Binafsi umeshatoa kauli ngapi za utata hata kwa waliokulea Bwana we! Hayo magazeti Diamond anaomba aandikwe ?? si wao na Akili zao ndogo kutwa kutaka kujua Diamond anamtafuna nani ?? Ndio Maana jana wamemtia Rais aibu hakuna hata Mmoja aliyeibuna CNN , Msimkatishe Tanaa Diamond kama mlivyofanya kwa Kanumba , Amina Chifupa , kutwa kuwasakama , Muache Unafiki wenu wa Kumsifia Mtu akifa !
Ngoja nimuendee hewan huyu kibopa,naweza na mimi nkakamata dili hata ya 2m out of 900m
mbeya hamna hoteli yenye hadhi yake
tatizo lako we unaangalia zaidi bongo mi mwenzio niko kimataifa zaidi(nimeiona ig page yake mimi mwenyewe)
aly akitaka colabo nipo tayari kumsaidia
we unafkri kauli hizo nzuri kwa msanii mwenzio
nyie@teamdaimond si mgeenda kumshabikia sasa
na hao global ndo wanampandisha km hujui maana maana kutwa kujipeleka waaindikwe
hahaha mi nasubiri jibu kama atanipa ajira
Hivi jamaa ni ME au KE?
Asingeenda kabisa leaders ndio tungesema kawakomoa,ila kaenda na kaimba nyimbo tatu bado unasema kawakomoa? Nadhani utakuwa unatania.
Kila msanii kaimba nyimbo tatu na kushuka.
"Nlikuwepo":bolt: