Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,850
- 2,732
Sina tim mimi..nawapenda wote kila mtu anauwezo wake wa kipekee.ila tu domo apunguze maneno ya shombo kwa mwenzie
na asipofanya hivyo itazidi kula kwake
Sina tim mimi..nawapenda wote kila mtu anauwezo wake wa kipekee.ila tu domo apunguze maneno ya shombo kwa mwenzie
Uk na ujerumani ilikuwa ni mapromota wanamzingua, ila mwisho wa siku yeye kama msanii ndo alionekana mbaya. Ila kiukweli ni mapromota ndo waliharibu, washabiki hawaoni hilo.
Kuna haja ya kuchagua wanamuziki wa kuja. Huyu hafai,alikuwa too much matusi na hata akiongea kawaida hasomeki. Nadhani alipiga ganja au unga kabla ya show. Matusi mengi sana. Ila pia kuna mbongo mmoja alitukana 'kumamazao' live.
Uk na ujerumani ilikuwa ni mapromota wanamzingua, ila mwisho wa siku yeye kama msanii ndo alionekana mbaya. Ila kiukweli ni mapromota ndo waliharibu, washabiki hawaoni hilo.
nilikosana na mshikaji wangu siku aliponiambia ni shabiki wa Diamond, juzi karudi kuomba msamaha.
kwani mashabiki wanalipia hela kumuona promota akiimba ama domondi?
wadau naomba niulize eti Jay Z amewah kufanya showa Tanzania?iilikuwa mwaka gani?
Wanaelewa sana......Diamond ajirekebishe.Kwakuwa anapesa basi atumie pesa ili mambo yaende.
Huna TV?clouds na TBC 1
yeah nigga jay amewahi kupaform bongo octoba 2006 siikumbuki tarehe alikuja na beyonce but b' alisindikiza bwana yake aliletwa na primetime promotions
Niko mbali ndugu yangu, ndio maana nilikuwa natafuta online show kama walivyosema, kumbe miyeyusho mitupu.
Pole sana lakini shukuru hukuipata manake na wewe si shabiki wa ndomo???kila siku kumponda Kiba sasa jana amemkalisha huyo domo wenu vibaya sana
​Hivi wewe upatagi usingizi? Tangu last week, nikifungua JF upo ndani, duh! Huyo jamaa kazi anayo.
​Hivi wewe upatagi usingizi? Tangu last week, nikifungua JF upo ndani, duh! Huyo jamaa kazi anayo.
Pole sana lakini shukuru hukuipata manake na wewe si shabiki wa ndomo???kila siku kumponda Kiba sasa jana amemkalisha huyo domo wenu vibaya sana
Sugu kipindi hiyo years way back wakina Ruge walikuwa wanamuharibia kazi, wakawa wanalazimisha Dudu Baya ni kiboko zaidi ya yeye. Na ikawa wanalazimisha wapenzi wa muziki wa kibongo wakubali hiyo kitu, kwa hiyo Dudu Baya akapewa bonge la promo kimtindo, lakini Sugu akesema mtu anayepiga hela nyingi ndio kichwa. Kaka Sugu akaimba nyimbo moja inaitwa Mwana muziki. Sikiliza hiyo nyombo ndio utaelewa.
Ati wasema nini???nyombo ndio kitu gani???au ni msamiati mpya nini?
Ali kiba ana kabahati ila naye aache kuvaa skuna sijui moka zile. ..atoke kistaa mambo ya kuvaa kama mwalimu mpya wa shule ya msingi jukwaani siyo mpango. ...diamond achukulie poa kuzomewa kwani wahudhuriaji wa fiesta tunawajua watu wa design gani,ndo maana daladala huwaga nyingi leaders,tunakumbuka mlimani city balaa ulilolifanya