XinKumi
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 1,275
- 1,143
Ndugu yangu Ruttashobolwa, kama ukienda jela siku ya kwanza na kukuta wafungwa wenzio wanapigana basi usigombelezee hata kidogo. kwa maana unaweza kwenda kumshika yule mbabe ambaye anaonekana kumuonea mwingine naye akaanza kujigamba kwa kusema si nilikwambia mimi,huyu wangu mimi.Davido akiperfom italeta tafsiri mbaya sana na itaonekana kuna wako juu ya sheria!
Lengo la kusema haya si kukutakia Shekhe wangu uende jela,ila katika huo ugomvi ni kuangalia tu..
"Nlikuwepo":bolt:
Last edited by a moderator: