Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Nimekujibu tu wewe mkuu maana unalalamika sana kama unaonewa

Tofautisha kula kimasikhara na aina hii ya nyuzi maana huu Uzi wa ishirini anafunguliwa mtu mmoja na pia ni vitu vinavyoweza kuongelewa pm huko
Bro huwezi mpangia mtu cha kufanya, mind your business bro, I'd yake, bando lake, simu au PC yake, waachie wenyewe, utaishi vizuri sana hapa duniani ila ukigeuka mshauri wa Nini watu wafanye, utapoteza heshima Yako Bure, huwenda wao wanajuana, wanatuchora tu, be care
 

Attachments

  • Screenshot_20260622_140146_Chrome.jpg
    Screenshot_20260622_140146_Chrome.jpg
    40 KB · Views: 3
Nilishapeleka kondoo wawili kama mahari, nangojea mwezi huu upite nichukue jiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom