Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Kadiri siku zinavyokwenda mbele,
Naweza kujikuta nimebaki peke yangu tu ndiye mtu ambaye sijamfungulia uzi huyo seran.

Halafu unaweza kukuta huyo Seran ni dume na ana midevu kama Mpoki.
Kwa kweli kama mtu unafungua manyuzi ya aina hiyo ukikutana na hii hali ya kukuta huyo Seran ni dume na ana midevu kama Mpoki inabidi ukaoge Coco beach mchana wa jua kali kisha ubebe maji ya bahari kwenye kidumu cha tano ili uwe unakunywa robo lita kila siku asubuhi kuondoa hilo gundu.
 
Kwani ulivo mtongoza mara ya kwanza alijibuje😭😭😭
 
Kwenye jukwaa la JamiiForums Tanzania, Seran ni mmoja wa wanachama maarufu na wanaopendwa sana. Upendo kwake unajidhihirisha kupitia mambo makuu yafuatayo
:Ucheshi na Uchangamfu: Anapendwa kwa sababu ya vituko vyake, tabasamu, kujiamini, na uwezo wake wa kupendeza.
Ushiriki Mkubwa: Yupo karibu katika kila thread (mada), jambo linalomfanya awe maarufu kiasi cha wanajukwaa wengi kumgombania.
Utani na Matukio: Wanachama wenzake humuandalia mada maalum za kusherehekea mwisho wa wiki (weekend) na hata kupanga kutoka naye 'out' kwa ajili ya matembezi na kula bata
.Mapenzi ya Wazi: Umaarufu wake umefanya baadhi ya wanajukwaa kuonyesha hisia za wazi za kupendezwa naye, na hata kujitokeza kwa wanaume wanaotamani kuwa naye kwenye mahusiano.
AI inachukua nafasi za akili halisi karibu kila maeneo....hili na janga.!!
 
Kumbuka uzuri wa mtu ni tabia.
Sura/umbo huzeeka ila tabia ni nadra sana kubadilika.
Huyu Seran kupitia mabandiko yake anaonesha ni humble na mwenye sifa nyingi za binadamu mwema.
Mimi ninatamani sana kumwona tu basi.
Ni muandiko tu hakuna lolote! Usitamani kabisa hutoipenda!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom