Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Seran nakupenda, njoo tuyajenge

Ndio mapenzi yalivyo usipangie watu namna ya kufikiri huwanunulii bando so it's non of ur bzns vya kupost ni vingi labda nikupe headings then post Uzi wako kupitia hizo headings;

1. Kilimo Bora Cha parachichi tukuyu
2. Quantum physics.
3. Jinsi ya kuvunja vaults za BoA
4. Agro mechanics
5. Adili na Nduguze.
6. Vijiji vya ujamaa.
7. Space x
7.kilimo Cha ubuyu kongwa.
8. Wimbley stadium
9. Ngugi wa thiongo
10. Uchumi wa blue.

Tiririka na mda yoyote hapo juu maisha ya wengine achana nayo.
Safi sanaa Kuna wasenge wanataka wapangie watu vyakupost hapa jukwaani..kwanza sisi wengine hatuna akili
 
Bro huwezi mpangia mtu cha kufanya, mind your business bro, I'd yake, bando lake, simu au PC yake, waachie wenyewe, utaishi vizuri sana hapa duniani ila ukigeuka mshauri wa Nini watu wafanye, utapoteza heshima Yako Bure, huwenda wao wanajuana, wanatuchora tu, be care
Sasa kama huwezi kumpangia mtu tulia usipige kelele jukwaani

Wewe weka Uzi wako wa mpemba si tuachie tukuponde hakuna kulia Lia mind bizzness yako ya kupost Uzi tuachie shughuli yetu ya ku comment

Hakuna kulia Lia
 
Mtu wangu wa wapi tena jamani😁
Kwahiyo nlikuwa mnavipekenyua au ndio unaishia kula kwa macho?
Navipekunyua kwa maana ipi?
Kula kwa macho kivipi sasa?
Nakuuza kwa bei rahisi ww umenishinda tabia!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom