Wakuu kwema ! Nisiwachoshe sana naenda moja kwa moja
Nini kinatokea katika ubadilishanaji wa nguvu kwa mwanamke mchanga na mwanaume mzee vivyo hivyo mwanaume mchanga na mwanamke mzee
Kisha nipate ufafanuzi kwann ukionja penzi la mwanamke mkubwa sana unajikuta unatii mambo yake na kujinasibu...
poleni na majukumu
Kuna dada tulikuwa na mazoea kias tu uwa tunawsiliana vyema Sasa Leo halikuwa na shida na bidhaa Fulani akaniomba kuwa nkielekea maneno ya mjini nmchukulie
Kweli join nkatoka home nikawasha pikipik yangu (tvs) mpaka maneno ya sokoni nkabeba mahitaji yangu Kisha nkampigia...
Natumai mko salama salimini aisee shikamooni nisiwachoshe sana sasa leo nimekaa nikawaza nani atanifaa kutoka naye out tukavinjari maisha ni haya haya.
1.Tukale nyama choma
2.Tunywe(japo mi situmii)
3.Tusikilize mziki(zilipendwa) like oriva ngoma na Samba mapangala
4.Tucheze
5.Tuwaescort...
Tangu nijiunge na Jf nimekuwa nikivutiwa sana na wewe
1.Vituko vyako
2.Kujiamini kwako
3.Tabasamu lako😁
4.Wa kishua(umekaa kimjinimjini)
5.Hutaki nginjangija(unajikubali sana)
6.Avatar yako unaonekana ni bonge la totoz na hizo nywele zako za asili nyeusi tiiii
7.Kiukweli usipocomment...
Nime ulizwa hili swali, kutokana na taaluma yangu, na huyu dada nikakimbia kuangalia ingredient, naona vitamin c, glutathione ila bado Nina mashaka sana nikaona nilete Kwa wataalamu husika watupe elimu Kwa manufaa ya wote, pliz wazee wa kutukana tafdhali hapa ni ulingo wa elimu si kubezana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.