







wakianza kuongea R na F wachache ndo tunao tamba, na mie huwa navimbaa sana.


Kitumbo nae kasoma bhana, tena IT,



Remember aligombana na M hiyo siku, ikabidi modes wetu wam bann kwa 7days, ila yule ana matusi khaaaah,
Alimuambiaa R siku hiyo nawee bahati yako danga likakupeleka ulaya ukasome, vingnevyo ungekua nyoka wa tandika,



R akamjibu naweee tafuta danga akupeleke hata hapo Kenya km ni rahis, utabaki kubwatuka hovyo public ili ule, niache huna hadhi ya ku battle na mie, tafuta mbumbumbu wenzio.




Hata njaa iniume vipi, nikiwa chimbo inakata. Woiiiiiiiiiih