Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na vitabu vyangu pendwa kwenye bible ni ;

  1. Job
  2. Isaiah
  3. Ezekiel
  4. Jeremiah
  5. Amos
  6. Malachi
  7. John pamoja nyaraka zake tatu
  8. Revelation
  9. Jacob
  10. Judas
  11. Hebrew
Hizi ndio first eleven yangu

Sub huwa ni ;

  1. Joel
  2. Genesis
  3. Ephesians

Why Job ime top up?


Nikiona tu Joel hii verse inaclick

Joel 2:25
“So I will restore to you the years that the swarming locust has eaten, The crawling locust, The consuming locust, And the chewing locust, My great army which I sent among you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why Job ime top up?


Nikiona tu Joel hii verse inaclick

Joel 2:25
“So I will restore to you the years that the swarming locust has eaten, The crawling locust, The consuming locust, And the chewing locust, My great army which I sent among you.

Sent using Jamii Forums mobile app
Job ni kitabu cha kwanza kabla ya Genesis, kuna mambo mengi na mazito
 
Nani huyo M aliyegombana na remember au anayejiita DC? Nyie remember anatoleaga wapi yale maneno yake jamani? Khaaa

Yeah kweli nimekumbuka kitumbo alisoma IT
DC wa kulee, huyu ana kituko chake bhana acha tyuuh.

M wa kubebewa nyota bhana, kitumbo ana desa la degree,

Remember yule ni kibokoooo, anajuaga kufunga chimbo huwa tuna poa wenyewe, hakna wa kumuweza kulee.
 
DC wa kulee, huyu ana kituko chake bhana acha tyuuh.

M wa kubebewa nyota bhana, kitumbo ana desa la degree,

Remember yule ni kibokoooo, anajuaga kufunga chimbo huwa tuna poa wenyewe, hakna wa kumuweza kulee.
Aaaah kumbe kaka mbunifu.

Mmh remember labda umdunde tu; kwa maneno utakimbia tu mwenyewe
 
Back
Top Bottom