Nitakununulia… ole wako ukiweke uvunguni 😂😂😂😂Hapana kwakweli 😂😂
Hali ya hewa 🥶 View attachment 2231630
wee shouzzzzzz acha hizo bhana, kuwa fea kidogo. Uwiiiiih
Ijumaa kuu hatuli nyamaa 😕😕😕Bomba kabisa kamanda
Za furahi day?
Aaaah kumbe kaka mbunifu.
Mmh remember labda umdunde tu; kwa maneno utakimbia tu mwenyewe




ameshashindikana, now yuko kwa moviee. Nikikumbuka zamani tulivyokua tunaenjoy hiko kipindi, sijui nini shida wakaiondoa kwenye local channelDaah na Mimi nishaisahau BSS
Aaaaah usizidishe sasa nawee.Shos madogo ukiwachekea wanakuona bibi yao!



Wee shos wanafunzi wajinga sana ujuee ni vizuri kuweka mipaka !!Aaaaah usizidishe sasa nawee.![]()
Live live...... mtoto chocolate color na jicho linaitaaaa!!!Hali ya hewaView attachment 2231630
Mwenye shape kama jengo la wazaziameshashindikana, now yuko kwa moviee.
Kuna scene hiyo kaua mbaya, eti mfupi km kibuyu cha asali. Woiiiiiih. Nyie yulee khaaaah.


Hapo kwenye bei wamekua fair sana.Mimi nachokipendea bei rahisi
Package yake haiumizi inaanzia 10, 15 na 20k tu
Ndo maana nawavumilia ila la sivyo ningehama chap .
Nafikiri after kuachana na Mzee Machache, mambo yalianza kusuasua kidogo...Nikikumbuka zamani tulivyokua tunaenjoy hiko kipindi, sijui nini shida wakaiondoa kwenye local channel
Hakuna nafasi ya kufundisha Biology nije nichape mapindi hapo 😛😛😛Wee shos wanafunzi wajinga sana ujuee ni vizuri kuweka mipaka !!
Ngoja niingie kwa masjid Kwanza nitarud kwa ajili yakoHali ya hewaView attachment 2231630
Sijawahi kukuona kabisa… fanya kunibless 😉Mashaallah, una rang nzuri 😊😊😊😊
Ooh yeahHapo kwenye bei wamekua fair sana.
Kama vipindi vyao vinakuburudisha enjoy nao.
😂😂😂 ninunulie shogaaNitakununulia… ole wako ukiweke uvunguni 😂😂😂😂